Recent content by Mbabani

  1. Mbabani

    JamiiForums Tanzania Kama umeoa au haujaoa take this

    52. Usimuonee huruma mwanamke.
  2. Mbabani

    JamiiForums Tanzania Heshima kitu cha bure. Rais Samia ni lazima aheshimiwe na wote, akosolewe kwa staha na asitukanwe

    Mungu mwenyewe anakoselewa aje kua huyo muuaji na mfiraji💔
  3. Mbabani

    JamiiForums Tanzania Patrobas Katambi: Tutachunguza clip ya Bodaboda kuvutana na Askari Polisi, haki itatendeka

    Hapo bila kuleta kona kona polisi ndiye mwenye tatizo.
  4. Mbabani

    JamiiForums Tanzania FT: Yanga Day | Agosti 9, 2026 | Uwanja wa Uhuru | Yanga 1: 2 Les Aigles Du Congo. Yanga Day yaingia Doa

    Uto mkifungwa mnajaribu kikosi ila simba walikua wanatafut kombe eti?
  5. Mbabani

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kwenu wafanyakazi wa benki, mnapozikataa hizi noti za elfu moja na elfu mbili mnategemea tuzipeleke wapi?

    Mimi ni wakala, kila nikipeleka benki hela nakutana na hii changamoto, muda mwingine unarudi nazo. Sipo hapa kuchekesha
  6. Mbabani

    JamiiForums Tanzania KERO AZAM TV huduma kwa wateja kwa njia ya simu ni bomu jingine

    Azam Tv sio tu wanahuduma mbovu ila pia wanadharau na hawajali wateja
  7. Mbabani

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kwenu wafanyakazi wa benki, mnapozikataa hizi noti za elfu moja na elfu mbili mnategemea tuzipeleke wapi?

    Hawazitaki sasa, yani ukiwa na noti za buku buku kama laki 2 na kuendelea hupewi huduma.
  8. Mbabani

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kwenu wafanyakazi wa benki, mnapozikataa hizi noti za elfu moja na elfu mbili mnategemea tuzipeleke wapi?

    Kuna hii tabia inakuja kasi sana wafanyakazi wa BENKI hamtaki kuchukua (elfu moja moja & Mbili) yani noti za buku buku na buku mbili. Mnataka noti za 5,000 na 10,000 tu. Hamzitaki hela, tuambiane pa kuzipeleka au kama hazitambuliki mzifute tujue noti ni 5,000 na 10,000 tu.
  9. Mbabani

    JamiiForums Tanzania Huu ndio ukweli mtupu, mwisho wa siku hatutoondoka na kitu duniani

    Haitoshi kukufanya utulie, endelea kusaka karatasi zenye namba
  10. Mbabani

    JamiiForums Tanzania Jezi feki za Simba SC ni mradi wa mzabuni?

    Wangetangaza kwamba kuna jezi za ubora wa chini kwa bei ya 10,000 au 15,000 na jezi ya 45,000 kwa ubora tofauti.
  11. Mbabani

    JamiiForums Tanzania Jezi feki za Simba SC ni mradi wa mzabuni?

    Ni sawa, je mzabuni ndiye anayefyatua hizo feki?
  12. Mbabani

    JamiiForums Tanzania Jezi feki za Simba SC ni mradi wa mzabuni?

    Hii imenishangaza sana, siku ya uzinduzi wa jezi za klabu ya Simba kwa ajili ya msimu wa 2026/2027 ukifanyika Ngorongoro. Siku hiyo hiyo jioni nimekutana na jezi feki nyingi sana zimetapakaa mtaani kwa bei ya 10,000-20,000. Je, mzabuni ndiye anahusika ili kujiongezea faida mara dufu? NB...
Back
Top Bottom