Recent content by Mbabani

  1. Mbabani

    JamiiForums Tanzania Studio ya Msanii Barnaba yawaka moto Mwananyamala, hakuna kilichopona

    Kampeni ni kuanzia 2029
  2. Mbabani

    JamiiForums Tanzania Mbele ya Waziri Mkuu, Mzazi afikisha malalamiko ya mwanae kutekwa na Waliojitambulisha kuwa ni Polisi

    Yani yule bibi amelia kwa uchungu sana "ni siku 40 sijamuona mwanangu, sijui kama ni mzima au laah"
  3. Mbabani

    JamiiForums Tanzania Mbele ya Waziri Mkuu, Mzazi afikisha malalamiko ya mwanae kutekwa na Waliojitambulisha kuwa ni Polisi

    Ni huzuni kwa kweli, mwanamke mmoja huko Itigi - Singida ameeleza kwa uchungu mtoto wake alivyokamatwa na polisi wakamfunga pingu kisha kutokomea nae, mzazi wa mtoto huyo alifatilia kituo cha polisi bila mafanikio ya kumuona mwanae, ni siku 40 zimepita hajui mtoto wake alipo. Ameyaeleza hayo...
  4. Mbabani

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aendelea kuonesha umoja wa kitaifa

    Mashoga wa ccm mnajitoa sana akili kmmk zenu
  5. Mbabani

    JamiiForums Tanzania Tetesi za kuachwa loemba na siasa za Mo

    Loemba, Maema na Kante jamaa ni wakawaida sana
  6. Mbabani

    JamiiForums Tanzania Siri imefichuka Yanga anafanyiwa hujuma ili kusudi Simba achukue ubingwa angalau mzani ubalance

    Watu kama nyie ndiyo mnafanya mashabiki wa Simba na Yanga waonekane hawana akili.
  7. Mbabani

    JamiiForums Tanzania Namba 10 pale Simba kitaalamu

    Chama effect
  8. Mbabani

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kuhutubia taifa siku ya kesho Mei Mosi (1 Mei, 2026)

    Pesa inakuvua utu, Mwashambwa yupo radhi alambishwe mnduku wa samia ili tu amsifie.
  9. Mbabani

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vijana wa sasa awajaandaliwa kuwa mababa bora. Ninachokiona mtaani ni ujinga mwingi!

    Je wa kike waliandaliwa kuwa wake za watu?
  10. Mbabani

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

    "Tafuta demu uishi nae ila usioe" Unajua ndoa ni nini?
  11. Mbabani

    JamiiForums Tanzania Kila mwenye Iman aombe kwa ajiri ya Taifa hili😭😭

    Maombi ni nini?
  12. Mbabani

    JamiiForums Tanzania Najua watu wataniona mjinga ila Lamine Yamal is talented than Lionel Messi

    Kweli wewe ni mjinga
  13. Mbabani

    JamiiForums Tanzania Hii ni aibu sasa, US wameingia Iran na kumuokoa rubani wa pili

    Aibu kubwa ilikuwa october 29-30, yanapita majamaa ma nne kila mtaa wenye wanaume 500+ yanahakikisha wanaume, wanawake na watoto mmejifungia ndani hakuna kutoa pua nje.
  14. Mbabani

    JamiiForums Tanzania Sijaona Rais mwenye lugha za kihuni, kejeli, dharau na kuropoka ovyo kama Donald Trump

    Mtu ukiamua kunyoosha maneno unaonekana unadharau.
Back
Top Bottom