Recent content by Mbabani

  1. Mbabani

    Vijana wa sasa awajaandaliwa kuwa mababa bora. Ninachokiona mtaani ni ujinga mwingi!

    Je wa kike waliandaliwa kuwa wake za watu?
  2. Mbabani

    Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

    "Tafuta demu uishi nae ila usioe" Unajua ndoa ni nini?
  3. Mbabani

    Hii ni aibu sasa, US wameingia Iran na kumuokoa rubani wa pili

    Aibu kubwa ilikuwa october 29-30, yanapita majamaa ma nne kila mtaa wenye wanaume 500+ yanahakikisha wanaume, wanawake na watoto mmejifungia ndani hakuna kutoa pua nje.
  4. Mbabani

    Sijaona Rais mwenye lugha za kihuni, kejeli, dharau na kuropoka ovyo kama Donald Trump

    Mtu ukiamua kunyoosha maneno unaonekana unadharau.
  5. Mbabani

    Namba 10 pale Simba kitaalamu

    Ile pasi ya Chama kwenda kwa Mpanzu ndiyo kitu walikosa Simba kwa muda mrefu
  6. Mbabani

    Dark days 17/03/20

    Unaona sasa Yoga alivo anakuja kutisha watu wakati wao ndiyo wapo hoi. Moja haikai mbili haisogei
  7. Mbabani

    FT: Young Africans SC 3-0 JS Kabylie | CAF Champions League | New Amaan Complex | Feb 15, 2026

    Yanga atashinda, wasiwasi wangu ni kwa wale waarabu wasije kutoa sare tu.
  8. Mbabani

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Ful-HAM✅ Totten-HAM✅ West-HAM⏳
  9. Mbabani

    Injili ya Barinaba chapter 39 Aya ya 2

    Ndiyo — Injili ya Barnaba inamtaja Muhammad kwa jina, lakini hapa kuna muktadha muhimu sana 👇 Injili ya Barnaba ni nini? Ni maandishi yasiyo katika Biblia ya Kikristo (apokrifa). Haikubaliki na makanisa ya Kikristo (Katoliki, Kiorthodoksi, wala Kiprotestanti). Inamtaja vipi Muhammad? Ndani ya...
  10. Mbabani

    Ujumbe wa Leo: Wizi wa kura ni Chukizo kwa Mungu by Padre Kitima

    Padre kua na mtoto ni furaha mbele ya Mungu?
Back
Top Bottom