Recent content by Mbabani

  1. Mbabani

    Namba 10 pale Simba kitaalamu

    Ile pasi ya Chama kwenda kwa Mpanzu ndiyo kitu walikosa Simba kwa muda mrefu
  2. Mbabani

    Dark days 17/03/20

    Unaona sasa Yoga alivo msenge, abakuja kutisha watu wakati wao ndiyo wapo hoi. Moja haikai mbili haisogei
  3. Mbabani

    FT: Young Africans SC 3-0 JS Kabylie | CAF Champions League | New Amaan Complex | Feb 15, 2026

    Yanga atashinda, wasiwasi wangu ni kwa wale waarabu wasije kutoa sare tu.
  4. Mbabani

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Ful-HAM✅ Totten-HAM✅ West-HAM⏳
  5. Mbabani

    Injili ya Barinaba chapter 39 Aya ya 2

    Ndiyo — Injili ya Barnaba inamtaja Muhammad kwa jina, lakini hapa kuna muktadha muhimu sana 👇 Injili ya Barnaba ni nini? Ni maandishi yasiyo katika Biblia ya Kikristo (apokrifa). Haikubaliki na makanisa ya Kikristo (Katoliki, Kiorthodoksi, wala Kiprotestanti). Inamtaja vipi Muhammad? Ndani ya...
  6. Mbabani

    Ujumbe wa Leo: Wizi wa kura ni Chukizo kwa Mungu by Padre Kitima

    Padre kua na mtoto ni furaha mbele ya Mungu?
  7. Mbabani

    Mungu tunaomba usiruhusu Mauti kwa Dr Nchimbi

    Kwamba unaamuru jeshi la malaika! Unauwezo wewe wa kuamuru malaika?
  8. Mbabani

    Namba 10 pale Simba kitaalamu

    Hatimae CHAMA amereje Simba, kuna kitu kitaongezeka hasa kutengeneza nafasi kwa wafungaji.
  9. Mbabani

    Mshahara ninaopata nagawana na Mke wangu pasu kwa pasu

    Baadae utakuja humu ukisema "Fear women".
  10. Mbabani

    Dark days 17/03/20

    Jikoni kwa moto, maza hausi anaitaka talaka kwa nguvu, amechoka masimango ya wanafamilia.
  11. Mbabani

    Dark days 17/03/20

    Uhalisia kivipi?
Back
Top Bottom