Ni huzuni kwa kweli, mwanamke mmoja huko Itigi - Singida ameeleza kwa uchungu mtoto wake alivyokamatwa na polisi wakamfunga pingu kisha kutokomea nae, mzazi wa mtoto huyo alifatilia kituo cha polisi bila mafanikio ya kumuona mwanae, ni siku 40 zimepita hajui mtoto wake alipo.
Ameyaeleza hayo...
Aibu kubwa ilikuwa october 29-30, yanapita majamaa ma nne kila mtaa wenye wanaume 500+ yanahakikisha wanaume, wanawake na watoto mmejifungia ndani hakuna kutoa pua nje.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.