Kiufupi sana hii nchi kuikomboa kutoka sisiemu ni jambo gumu sana, ili kuikomboa kutoka kwa sisiemu ni vita ya wenyewe kwa wenyewe.
Moja ya kauli ya kibabe ya kuwafungua watu akili ni kwamba "mpinzani wa kweli atatoka CCM" huku kwingine hakuna wapinzani mfano ni CHADEMA yamejaa mapandikizi ya...
Sio kupigania katiba, tupigane na watu wa ccm wote, yani kanyaga kuanzia balozi, diwani, mkuu wa wilaya, mkurugenzi, mkuu wa mkoa, wabunge, polisi.
Halafu ndiyo tutapata katiba mpya.
Huyo mama awanyooshe kabisa kmmk zenu, si mlikua mnashangilia na kuimba "aacheni waandamamane eeee, sisiemu mbele kwa mbele". Sasa mbele kwa mbele ndiyo hii sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.