Mie bado siamini kama kweli hawa ni teenagers. The girl from South Africa is a walking conundrum to me, a clear cut example of how social institutions pushes people towards lines of thinking and doing that is contrary to the ideals of humanity.
Dhana ya kwamba serikali ikipandisha mishahara itapelekea bei za vitu kupandishwa(inflation) inamaanisha kuwa uchumi wa Tanzania hauna ushindani(uncompetitive).
Kwa hiyo Raisi Samia anakiri kuwa serikali yake imeshindwa kusimamia uchumi imara na wenye ushindani kwa sababu wazalishaji wachache...
Wilaya; Kinondoni
Simu; 0759218987
Mita no: 04134167768
Tatizo: Kuna phase kadhaa za ndani ya nyumba yetu umeme hauwaki. Tumevheki power circuit breaker ya ndani na nje ipo sawa.
Na uonevu wote unaofanywa na dola za ki-Afrika kwenye nchi kama Misri, Sudan, Congo, Tanzania, Cameroon n.k kwa wananchi wao unawezaje kukataa kuwa serikali hazichangii kuwafukarisha wananchi?
Kila kukicha wananchi wanaporwa ardhi zao, wanaharibiwa mazingira yao na uchimbaji holela wa madini...
Anahitajika mtu mwenye fani zifuatazo;
-Bachelor's or Master's degree in Business Administration and Management
-Bachelors or Master's degree in Management
Experience: not less than 2 years
Remuneration: good negotiable package
The business deals with workshop tools.maintenance tools including construction materials, safety wears, cutting disc and so on.
Location: Oysterbay, Dar es salaam
Habari zenu,
Natafuta mtu anayeweza kufanya kazi ya business manager mwenye uzoefu usiopungua miaka 2
About business:
The business deals with workshop tools, maintenance tools including construction materials, safety wears, cutting disc and the like.
Qualifications:
(1) Bachelor's and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.