Recent content by mazaga one

  1. M

    Bahasha fc: Tumalize mchezo mapema

    Naweza nikasema Yanga wanafanya michezo michafu sana kwenye Ligi yetu.Hii ni hatari sana kwa Soka la Tanzania
  2. M

    Jeshi la Polisi mkoa wa Iringa lakanusha na kutoa ufafanuzi juu ya taarifa za kuuawa kwa mfanyakazi wa ASAS kwa kipigo

    Kuna mtu anawatetea waarabu hajui jinsi gani Watanzania wengi wananyanyaswa kufanya kazi kwa Wahindi,Waarabu.Ni kheri kufanya kazi na Mchina hata kama anakupa kidogo ila hakunyanyasi.
  3. M

    Rais Samia ana uwezo wa kununua hata helikopta yake binafsi kwa hela yake mwenyewe kutokana na kufanya kazi kwa miaka mingi

    Jamaa hajui anaongea na watu ambao wanaoweza kumfikisha mahali pengine,yeye anajibu ovyo tu🤣
  4. M

    Sikiliza hapa Dj mixing /non stop

    Utakuwa umetisha!! DVJ fundii
  5. M

    Sikiliza hapa Dj mixing /non stop

    Watu tumemiss mixing zako kali,2024 hujatupa vitu kabisa
  6. M

    Nimemeza flagin.

    Utakufa vibaya wewe
  7. M

    DOKEZO Achana na kunguni, UDOM ina vyoo vichafu sijawahi kuona

    Kwenye Orientation vijana wafundishwe,ila Watanzania wengi ustaraabu hawana.Utunzaji wa vitu F
  8. M

    Rais Samia azindua Ripoti ya Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, Viashiria vya Malaria na Ugawaji wa Magari ya Kubebea Wagonjwa

    Hakika huyu Mama Mungu amtunze,kwa jinsi mambo makubwa anayotufanyia Watanzania.Maombi tu tumuombee Mama yetu Samia.
  9. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Asante Serikali ya Mama Samia kwa kujali vijana,Ajira zinaendelea kumwagwa.Hakika Dkt Samia aliposema yupo kwa ajili ya Watanzania anamaanisha kwa Vitendo. Mungu azidi kumbariki Rais wetu huyu. Vijana mkiingia kwenye Utumishi hakuna maendeleo ya haraka,tufanye kazi kwa moyo na kujituma na Mungu...
  10. M

    Picha: Camera ya simu ipi inaweza kupiga picha bora zaidi kama hizi?

    TekNo Spark 10 Pro jaribu hiyo mzee
  11. M

    Ushuhuda: Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya

    Naomba ueleze nami nifanye
  12. M

    Miaka 8 bila kazi, tangu nimalize chuo kikuu

    Mkuu sorry ulisoma kozi gani? Na je ulimaliza chuo kipi na mwaka gani? Je umejisajili na Ajira portal?? Maana huko vijana wengi wanapata kazi siku hizi bila kuwa na connection
Back
Top Bottom