Kuna mtu anawatetea waarabu hajui jinsi gani Watanzania wengi wananyanyaswa kufanya kazi kwa Wahindi,Waarabu.Ni kheri kufanya kazi na Mchina hata kama anakupa kidogo ila hakunyanyasi.
Asante Serikali ya Mama Samia kwa kujali vijana,Ajira zinaendelea kumwagwa.Hakika Dkt Samia aliposema yupo kwa ajili ya Watanzania anamaanisha kwa Vitendo.
Mungu azidi kumbariki Rais wetu huyu.
Vijana mkiingia kwenye Utumishi hakuna maendeleo ya haraka,tufanye kazi kwa moyo na kujituma na Mungu...
Mkuu sorry ulisoma kozi gani?
Na je ulimaliza chuo kipi na mwaka gani?
Je umejisajili na Ajira portal??
Maana huko vijana wengi wanapata kazi siku hizi bila kuwa na connection
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.