Binti namfahamu,wewe ni Mtu wa Mbeya ni Doctor na jina la Binti ni PH jina la mwanzo na mwisho.
Kama ni huyo Binti katulia sana na ni mzuri,ila usimuachishe kazi mtoto wa watu anategemewa sana kwao...
NB sio Kila mwanamke Polisi ni Malaya,umalaya ni tabia ya Mtu.Kuliwa ni maamuzi ya Mtu.
Vigezo vya vyuo vyote kusoma Masters ni GPA ya 2.7 na kuendelea..
Huyo akasome Open University Postgraduate Diploma Ili aweze kupata sifa za kusoma Masters..
Halafu sio wanasiasa wote wanasoma Open university,acha kuropoka kwenye keyboard,Mimi ni mwanafunzi wa Open na sio mwanasiasa,huku kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.