Recent content by mazaend

  1. M

    JamiiForums Tanzania Jamal Bakhresa: TFF imeharibu mpira wa Tanganyika. Azam FC nitaihamishia Zanzibar

    Niseme Nini Mimi niliwaza hivyo kwanini fei afanye kosa la makusudi kiasi kile na ni mchezaji makini? Inahuz
  2. M

    JamiiForums Tanzania Nataka Mwanume wa kunihudumia Na Mimi Nimpe Penzi, Amani na Heshima

    Mwenzangu ulipata?
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Bado una namba ya EX wako?

    Nina watoto wake hata kama haudumii Kuna kesho na kesho kutwa huwezi jua dunia duara
  4. M

    JamiiForums Tanzania DIVIDE AND RULE: Mbinu ya kimedani inayotumiwa na single mothers

    Single mother hawakupenda kuwa hivyo na siyo wote wenye tabia hizo ifikie sehemu tuwaombee wanapitia mengi sana katika malezi pamoja na mbaya tunayoambiwa na sisi ni binadamu tuna nafasi ya kupenda Tena hata kama tuliachwa na baba wa watoto na kitu kingine tupumzisheni basi
  5. M

    JamiiForums Tanzania Full Time UEFA Final: PSG 1 -1 Arsenal - Puskás Arena | May 30, 2026 - Baada ya Penati PSG anaibuka Bingwa (4-3)

    Ngoja tuone kipindi cha pili warudishe jamani duu timu psg sura zetu tutaweka wapi
  6. M

    JamiiForums Tanzania Full Time UEFA Final: PSG 1 -1 Arsenal - Puskás Arena | May 30, 2026 - Baada ya Penati PSG anaibuka Bingwa (4-3)

    Psg tafadhali msinichanie mkeka mbona!!!
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo

    Malezi ya namna hii wazazi wadumu duniani lakini Mungu akiwachukua mapema inakuwa tabu sana
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kijana Usithubutu kuzaa nje ya Ndoa! Tafadhari sana! Uliza wakongwe

    Muwezeshe mamaake ili aendelee kumhudimia mtoto kielimu, mavaxi chakula n.k itapunguza changamoto, bila hivyo itakuletea shida
Back
Top Bottom