Recent content by mazaend

  1. M

    JamiiForums Tanzania FT | Simba SC 6-1 Mighty Wanderers (Agg: 7-1) | CCL - Simba Kafuzu Round 1 kwa kishindo | Uhuru Stadium | 13.9.2026

    Kwa kweli ni furaha hatari mkuu, usisahau mkuu na mara nyingine tukivheza
  2. M

    JamiiForums Tanzania Eneo alilopigwa kocha wa Gabarone mashabiki au viongozi hawarusiwi kuwepo

    Ueleweki hata pointi Yako haieleweki yaani badala ya kukemea vitendo kama hivi kwenye michezo unatetea mara siyo sehemu ya uwanja mara hakustahili kutembea pale, tetea joja Yako!!!
  3. M

    JamiiForums Tanzania FT | Simba SC 6-1 Mighty Wanderers (Agg: 7-1) | CCL - Simba Kafuzu Round 1 kwa kishindo | Uhuru Stadium | 13.9.2026

    Kila La kheri timu Simba timu yangu magori ya kutosha Simba nguvu Moja hii tunatoboa
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kulikoni tena mbona mapema sana tumeanza Kumlaumu huku tulishamsifia mno kuwa bonge la Kocha mpiga miti?

    Tumpe muda kocha anafaa ila wachezaji wamemwangusha Simba kumwanzisha benchi mwalimu kuingia kipindi cha pili akuwa mjinga
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kocha wa Gaborone apigwa ngumi: TFF Ichukue Hatua Kulinda Taswira ya Tanzania

    Ametia huruma sana kapigwa karibu na jicho siyo uanamichezo Tanzania ya amani ipo wapi
  6. M

    JamiiForums Tanzania Manqoba Atoa Maagizo Mazito Yanga Dhidi ya Gaborone United

    Vip hajatoa historia za wacheza ji wote wa Gaborone ubutu wao, ukali wao dimbani, walikotokea, nk? Maana hicho ndo anachokiweza!!!! hakuna kocha mle wakati utaongea hamalizi msimu
  7. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini watu wengi wenye vigugumizi ni wanaume tu?

    Mimi nina Binti yangu ana miaka 7 daeasa 1 anacho kikubwa TU, pacha wake wa kiume Hana na Kuna Binti jirani yetu pisi ya hatari yupo kidato cha 2 anacho kikali sana ni maumbile hayachagui jinsi nadhani hivyo
  8. M

    JamiiForums Tanzania Naomba kuongezewa Maarifa

    Hakuna raha hapa duniani kama kula yaani ule kitu unachokipenda aisee asikwambie mtu raha sana.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Man-city naye atakuaje leo ama atazingua kama manchester united!!

    Matokeo ilikuaje Jana?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Ben Pol: Ukikutana na mazingira haya kwa mtu unayetaka kuanzisha nae mahusiano, ni bora uwe single

    Hahahahahahahah, bila kuanzia kunihudumia penzi kwangu alipo nione huruma yake kwanza! Potelea mbali hata akiona napenda Hela sawa, nilishakifunza kitu
  11. M

    JamiiForums Tanzania Nimetuma takriban sekunde 10 kwenye tendo

    Inatia mimba lkn mwenza hafurahii anafikaje kileleni kwa sekunde hizo mwisho atampa kishawishi cha kumaliza sehemu nyingine hii ni hatari kwa uaminifu
  12. M

    JamiiForums Tanzania Matches 3 kadi 3 Nyekundu kwa Simba

    Unayefurahia kadi nyekundu wanazopewa Simba nawakumbusha TU shilingi inapande mbili!!!! Msisahau tafadhali wakuu, ni hayo TU.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Yanga tusiingie kwenye mtego wa Simba. Selemani Mwalimu walikuwa wanamkarisha hadi dk za mwishoni. Sisi tunamweka bench?

    Si inasemekana tff bado. Hawajatoa kibali wakuu?
  14. M

    JamiiForums Tanzania FT: NBC Premier League: Singida Black Stars 1-2 Simba Sports Club | 12:00 Jioni

    Lakini muda wa kukaa madarakani umeisha ni January mapema watatoka tuwe wavumilivu, Mimi mwenyewe Nina hasira balaa kwa pande zote za uongozi sina hata ninae mtetea Tena natamani hata kesho waondoke miaka 5 hakuna mafanikio hata kumfunga mtani TU shida! Tuweni wavumilivu TU tusiongeze mgawanyiko...
Back
Top Bottom