Single mother hawakupenda kuwa hivyo na siyo wote wenye tabia hizo ifikie sehemu tuwaombee wanapitia mengi sana katika malezi pamoja na mbaya tunayoambiwa na sisi ni binadamu tuna nafasi ya kupenda Tena hata kama tuliachwa na baba wa watoto na kitu kingine tupumzisheni basi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.