Recent content by MAYOUB

  1. M

    Stanbic bank tanzania kunani...

    yote tisa kuna kibosile wa hr yeye kazi yake kutembea na mademu kuwapa kazi anawachukia aliowakuta anajifanya kaagizwa awachishe kazi wote keshawalamba watu wa HR wawili na aliyekuwa payrool kahamishwa kaletwa first lady toka operations teh teh salamu zako kazinja utawalamba sana
  2. M

    Nalazimika kumuacha mchumba wangu, 'One Night Stand' imenisababishia mimba...

    nimeumia sana mmmh ILA USIACHE MBACHAO KWA MSALA UPITAO
  3. M

    maji maji ukeni

    Mi ni mama wa familia hali hiyo inatokea sana kwetu sisi ushauri kama unapenda mwambie ila atumie udi kufusha ili yale maji yakauke kama hautajali nitafute usimwambie chochote mlete kwangu nimpe darasa
  4. M

    Mwanamke secretary anafaa kumuoa?

    Mi ni secretary nimeolewa nafurahia kazi yangu na nina ipenda na mume wangu ndo aliyenipeleka shule kusomea hiyo kazi na enjoy na huwa nasafiri na boss wangu kikubwa kujiamini tu mwenyewe na kujitambua kuwa ni nani kingine mimi nikisafiri na boss mume wangu huwa ananifuata niliko sina wasiwasi...
  5. M

    Na hamu yakungonolewa leo

    Tobaaaaaaaaaaaaaaaaa kumbe mtoto wa watu uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
  6. M

    Hata uwe na mwanamke mzuri kama malaika, nje lazima utoke.

    Si kweli ni mtazamo wa watu wachache na wasioajimini katika hilo hasa kwa upande wa wanaume ila kwa wanawake kinachofanyika hapo maudhi yanapelekea mpaka unatoka nje ila sio asilimia zote inategemea
  7. M

    MSIBA:Kokudo afiwa na mwanae . . . . . !!

    Inna lilah wainnailah rajiun
  8. M

    Kiswahili

    Naomba ufafanuzi wa maneno yafuatayo: 1.kamusi wahidiya 2.rejesta 3.misemo 4. Rahaja 5. Lugha ya mazungumzo
  9. M

    Utafanyaje kama ungekuwa wewe ndio mwanamke?

    mimi ni msichana ninakaa na baba mtoto wangu hatujaoana lakini tunamtoto wa miezi mitatu sasa, baba mtoto wangu ni kijana ambaye anajipenda sana yani yupo very smart sijawahi kuona kijana anayependa kuvaa nyeupe na siku zote akarudi mtanashati kama baba mtoto wangu. Kipindi alivyoanza...
Back
Top Bottom