Recent content by Mayor Slum

  1. Mayor Slum

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali inazingatia nini kupandisha cheo Walimu? Mbona Bagamoyo tumesahaulika?

    Hapo bado hujafikisha miaka mitatu Kuanzia July 2022 mpaka july 2023 ni mwaka wa probation( uangalizi) July 2023 mpaka July 2026 ndio unakuwa umefikisha miaka mitatu kwa hiyo subiri mpaka july 2026 ndio unaweza kupanda baada ya miaka mitstu
  2. Mayor Slum

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu kuweka akiba kwenye mifuko ya uwekezaji

    Hata mimi niliona sehemu kuwa UTT ukiwekeza 100k kila mwezi kwa miaka 30 unapata milioni 300 Je UTT inafanya kazi vipi mkuu naomba uelezee mkuu
  3. Mayor Slum

    JamiiForums Tanzania Ukiona umefanikiwa kimaisha,tafadhari kaa karibu na watu wafuatao mtaani kwako

    Hiyo ya kwanza sala na maombi vinatosha sanq Mkuu .Wazee kqmq umefanyikiwa watakuonea wivu tu na kuta hela zako basi
  4. Mayor Slum

    JamiiForums Tanzania KERO Jamii ya Watu walemavu tunakutana na mengi katika usaili wa ajira Serikalini tofauti na Sera inavyoeleza

    Utaz8ngatiwa ukifika oral kwa kufaulu ukifikisha ufaulu wa wenzako mpaka kwenye oral ndio wanaweza kukufikiria
  5. Mayor Slum

    JamiiForums Tanzania KERO Wahitimu wa Degree ya Microfinance and Enterprises Development tunakuwa Auto-Rejected kwenye Ajira Portal

    Mbona mimi nimepata ajira mwaka 2022 tena taasisi kubwa tu bila kufahamiana na mtu yoyote Acha bongo wewe
  6. Mayor Slum

    JamiiForums Tanzania Kwanini serikali haiwathamini wanafunzi wa shule za msingi Tanzania?

    Tafuta hela usomeshe watoto shule nzuri na wawe wanatumia school bus Mambo ya kulalamika ni ujinga tu Hao watoto kuna mtu kakulazimisha kuzaa na unataka ulelewelewe na serikali Wewe ndio unatakiwa uwapaambanie watoto wako na sio vinginevyo
  7. Mayor Slum

    JamiiForums Tanzania Watumishi wote nchini msiwe wapumbavu ulipo kama nafasi ipo piga

    Wadanganye wakidakwa wataozea jela ata kuna wakaguzi kila mwaka wa fedha wanakagua sana waited waone cha mtema kuni
  8. Mayor Slum

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Nataka kuhamia Tanga

    Acha tanga Nenda hapo kwenye Manicpal ya Kahama ufanye biashara tu utatoboa Mkuu
  9. Mayor Slum

    JamiiForums Tanzania Nina tatizo la kutosikia vizuri, natafuta kazi

    Kijana hata mimi ninatatizo kama lako lakini nimepata ajira serikalini jitahidi kusoma degree alafu uombe ajira za utumishi kama unaelewa madesa ukimaliza degree utapata ajira
  10. Mayor Slum

    JamiiForums Tanzania Kwa deni la Taifa lilipofikia, CCM Wakilazimisha kufanya Uchaguzi bila Reforms, Kati ya 2026-2029 Tanzania inaanguka kiuchumi rasmi

    Vipi je Uganda wamewekewa vikwazo mbona wanalidictator Mseven Vipi uchumi wao mbona misaada wanapata?
  11. Mayor Slum

    JamiiForums Tanzania Nafasi 2 watu 7500, kuna haja ya kujisumbua kwenda kufanya interview au niendelee kumbonji tu?

    Kijana Nenda ukifaulu vizuri utapata ajira na kama nafasi ni chake wanaweza kukuweka kwenye kanzidata
  12. Mayor Slum

    JamiiForums Tanzania Aende wapi kati ya TARURA kwa Mkataba ama HALMASHAURI ila Perment!

    Aende Halimashauri tu
  13. Mayor Slum

    JamiiForums Tanzania Kuacha ku-report kazini

    Nenda kareport kuna watu wengi sana wamesoma hiyo Civil Engineer wamefanya interview nyingi lakini wapi mpaka sasa ni majobless tu GOLDEN CHANCE NEVER COME TWICE
  14. Mayor Slum

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kumweleza boss ukweli kuhusu tabia yake inayokera

    Kama wewe niwakiume basi huyo boss wako hana mtu anayemkaza ndio maana anakuwa mkali muda wote wewe vumilia tu atakuja kukupa mzigo umkaze na kila kitu kitaenda vizuri
Back
Top Bottom