Recent content by Mayor Slum

  1. Mayor Slum

    KERO Jamii ya Watu walemavu tunakutana na mengi katika usaili wa ajira Serikalini tofauti na Sera inavyoeleza

    Utaz8ngatiwa ukifika oral kwa kufaulu ukifikisha ufaulu wa wenzako mpaka kwenye oral ndio wanaweza kukufikiria
  2. Mayor Slum

    KERO Wahitimu wa Degree ya Microfinance and Enterprises Development tunakuwa Auto-Rejected kwenye Ajira Portal

    Mbona mimi nimepata ajira mwaka 2022 tena taasisi kubwa tu bila kufahamiana na mtu yoyote Acha bongo wewe
  3. Mayor Slum

    Kwanini serikali haiwathamini wanafunzi wa shule za msingi Tanzania?

    Tafuta hela usomeshe watoto shule nzuri na wawe wanatumia school bus Mambo ya kulalamika ni ujinga tu Hao watoto kuna mtu kakulazimisha kuzaa na unataka ulelewelewe na serikali Wewe ndio unatakiwa uwapaambanie watoto wako na sio vinginevyo
  4. Mayor Slum

    Watumishi wote nchini msiwe wapumbavu ulipo kama nafasi ipo piga

    Wadanganye wakidakwa wataozea jela ata kuna wakaguzi kila mwaka wa fedha wanakagua sana waited waone cha mtema kuni
  5. Mayor Slum

    Ushauri: Nataka kuhamia Tanga

    Acha tanga Nenda hapo kwenye Manicpal ya Kahama ufanye biashara tu utatoboa Mkuu
  6. Mayor Slum

    Nina tatizo la kutosikia vizuri, natafuta kazi

    Kijana hata mimi ninatatizo kama lako lakini nimepata ajira serikalini jitahidi kusoma degree alafu uombe ajira za utumishi kama unaelewa madesa ukimaliza degree utapata ajira
  7. Mayor Slum

    Kwa deni la Taifa lilipofikia, CCM Wakilazimisha kufanya Uchaguzi bila Reforms, Kati ya 2026-2029 Tanzania inaanguka kiuchumi rasmi

    Vipi je Uganda wamewekewa vikwazo mbona wanalidictator Mseven Vipi uchumi wao mbona misaada wanapata?
  8. Mayor Slum

    Nafasi 2 watu 7500, kuna haja ya kujisumbua kwenda kufanya interview au niendelee kumbonji tu?

    Kijana Nenda ukifaulu vizuri utapata ajira na kama nafasi ni chake wanaweza kukuweka kwenye kanzidata
  9. Mayor Slum

    Kuacha ku-report kazini

    Nenda kareport kuna watu wengi sana wamesoma hiyo Civil Engineer wamefanya interview nyingi lakini wapi mpaka sasa ni majobless tu GOLDEN CHANCE NEVER COME TWICE
  10. Mayor Slum

    Nawezaje kumweleza boss ukweli kuhusu tabia yake inayokera

    Kama wewe niwakiume basi huyo boss wako hana mtu anayemkaza ndio maana anakuwa mkali muda wote wewe vumilia tu atakuja kukupa mzigo umkaze na kila kitu kitaenda vizuri
  11. Mayor Slum

    Kuacha kazi

    Ukiacha kazi ndio imetoka hivyo hepati tena serikalini maisha yako yote,jidanganye sasa uache utaona
  12. Mayor Slum

    Kuhama kutoka Tamisemi kwenda Taasisi ya Serikali kwa kufanya usaili

    Ongea na mkurungezi vizuri akufanyie mambo au apitishe barua yako Mkuu
  13. Mayor Slum

    Nasikitika nakaribia kumaliza masomo ya juu lakini sioni mwanga wa mafanikio naona kabisa naenda kuteseka

    Kuteseka lazima haikwepeki hata sisi tumeteseka afadhali hata sasa hivi Mama anatoa ajira je kipindi cha Magufuli ungefanyaje sasa Wewe maliza chuo jiandae kupambana na mtaa basi Kuteseka haikwepeki hata ungekuwa na boom unapoanza biashara au kazi ( ajira) utateseka tu kwani mshahara hata...
Back
Top Bottom