Recent content by Mayor Slum

  1. Mayor Slum

    Nimeitwa kwa ajili ya usaili RUWASA kama mhasibu, naombeni msaada juu ya haya baadhi ya mambo

    Je hao ruwasa wamepitia utumishi ? Au ni wenyewe tu ruwasa wamekuita?
  2. Mayor Slum

    Nimepoteza begi lenye vyeti vyangu na barua ya kuripoti kazini, nifanyeje?

    Ingia Ajira portal download certificate zote alafu rudi Dodoma kajieleze kuwa umepoteza barua ya placement nina uhakika watakupa ingine
  3. Mayor Slum

    Haya maisha sio poa kwakweli

    Mbona uko mdogo sana Mimi nimepata ajira nikiwa na miaka 31
  4. Mayor Slum

    Msaada Ajira Portal

    Sasa wewe umeweka nali CPA la nini. Huyo internal auditor wanayemhitaji hana CPA wewe umezidi vigezo.
  5. Mayor Slum

    Kuna uwezekano wa kuichukulia Dar badala ya Dodoma barua ya kuitwa kazini Utumishi?

    Nenda Dodoma utumishi house kachukue barua na usaini wakague na kitambulisho chako Mkuu
  6. Mayor Slum

    Mshahara wa November

    Kama shirika gani Mkuu?
  7. Mayor Slum

    Kati ya Kahama na Morogoro wapi panafaa kuishi kwa mtu anayeanza maisha?

    Kama ni mwajiriwa na unapenda boashara nenda kahama. Mzunguko wa pesa mkubwa sana Wafanyabiashara wanasema kahama kuna pesa
Back
Top Bottom