Umemsikiliza vizuri alivyongea? Unakumbuka alitolewa vipi ofisini? Kwa mtazamo huuhakunania ya dhati ya kuzuia haya maboacha watawala waendelee wanaovyo on inafaa ili tuwe kama ulaya
Twitter si bado imefungiwa watu wanalipia VPN ambayo serikali inapata 0% tax hela yote wanakula mabeberu. Haya makampuni ya simu ni ya mabeberu tunapandisha bei kuua wanyonge kutetea mabeberu. Halafu tuna sema serikali ya wanyonge, swali Wanyonge gani. Dunia nzima ina pendelea au...
Hii article imem outlive Mh. Raisinahakupata muda wala kuonyesha nia ya kuifanyia kazi. Inerestingly imepata wachangiaji kwenye muda wote wa uraisi wake
Imesha semwawazi kabisa ninanialiyeamua maendeleo yaende wapi na wapi yasiende hilo halina ubishi. Huwezi kumuuliza Mbunge kuhusu maendeleo aliyoleta kwa kuwa hakusanyi kodi aulilizwe anayekusanya kodi na kupewa matumizi yake Nakisha yeye kufanya atakavyo mwenyewe na hataki kuulizwa wala...
Shida watu wameamua kujustify yanayoendelea kwanguvu zote.Nyerere alitembelea maeneo mengi sana na kuhamisisha maendeleo kwa njia nyingi tu. Lakini hakuwahi kurundika maendeleo yote kwa kupendelea eneo moja kikubwa hakupendelea kwao. Hata nyumba yake Butiama alijengewa na Jeshi baada ya kuwa...
Huyo alienda kusaka kura wakati wa kampeni akaonekana anafariji walioathirika na mafuriko.Mafuriko ya mwaka huu wakamfuata kumwambia hiyo shida haijaisha.Akwajibu tusubiri maamuzi ya serikali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.