fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,411
- 7,966
Kuna major issue hapo, usidhani hiyo ni ziara ya burebureRais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi leo asubuhi Alhamisi Januari 14, 2021 amewasili Chato kwa ziara ya siku mbili...
Kuna major issue hapo, usidhani hiyo ni ziara ya burebureRais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi leo asubuhi Alhamisi Januari 14, 2021 amewasili Chato kwa ziara ya siku mbili...
Mkuu wa mkoa anafanya ziara kwenye mkoa mwingine?
Wanaenda huko maana yuko huko na kwa sasa yeye ni Rais. Subiri aondoke huko na hasa hawa atoke madarakani utakuja kuleta mrejesho.Mwanzo wa hesabu ni moja! Na Magufuli si mtu wa maneno maneno tu, ni wa vitendo - ona sasa January hii tu, ni watu wangapi mashuhuri wamezuru Chato? Na wanakwenda huko wakiwa wamesheheni na watu wengine!...
Ukiwa mezani utasemaje chakula ni kibaya wakati wenzako wanakila?Nimecheka kwa nguvu eti Maalim Seif naye ameridhishwa na ujenzi wa daraja!
Yaani wanatua kwenye uwanja wa Chato ilimradi tu wauhalalishe huo uwanja haramu.Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi leo asubuhi Alhamisi Januari 14, 2021 amewasili Chato kwa ziara ya siku mbili.....
Maendeleo hewa ya watu ni yapi?Uzuri wa Maalim Seif yeye hupenda maendeleo ya Vitu pia hayuko kama Lisu mpenda maendeleo hewa ya watu
Aliyosema Lissu kwenye kampeni akiulizwa wewe na wabunge wenzie mmekuwa wabunge miaka kibao majimboni mwenu tuonyesheni hayo yanaitwa maendeleo ya watu mliyofanya yanafananje hakuna!!! na Chadema hawana hata mfano mmoja wa kuonyesha!!!Maendeleo hewa ya watu ni yapi?
Tanzania ni taifa linaloongoza kwa unafiki dunianiRais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi leo asubuhi Alhamisi Januari 14, 2021 amewasili Chato kwa ziara ya siku mbili...
Jokate anaenda lini?Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi leo asubuhi Alhamisi Januari 14, 2021 amewasili Chato kwa ziara ya siku mbili...
Kabla ya 2025 tutaona pia Soko la Kimataifa la Senene kule Bukoba kukamilisha balaa la Awamu ya Tano. Baada ya Uwanja wa Mwanza kupanuliwa kubeba mbuzi, tayari Uwanja wa madege wa Bukoba umekwisha panuliwa kusafirisha Senene!Soko la Kimataifa la Dagaa Kasenda
Hadi 2025 ni balaa
'There is no bad publicity' Yani ukichafua kitu weee ama ukichafua mtu ndo unamtangaza. KILA mtu atataka akijue hicho kitu. Akikifahamu Sasa ndo atagundua mbona kiko poa tuuu.Mwanzo wa hesabu ni moja! Na Magufuli si mtu wa maneno maneno tu, ni wa vitendo - ona sasa January hii tu, ni watu wangapi mashuhuri wamezuru Chato? Na wanakwenda huko wakiwa wamesheheni na watu wengine!...
Naye maalim seif ameenda kupokea "shikamoo" yake kutoka kwa mfalme Herode na kumshukuru kwa kuanza kumlipa fedha za kunyoa ndevu.Gavana wa Zenj, kaenda kumsalimu mfalme Herode.
Au waziri hasie na wizara maalumu kwenye baraza la mawaziriMkuu wa mkoa anafanya ziara kwenye mkoa mwingine?