Maana najua mapovu unayoyatoa humu utakuwa na kataulo hapo pembn unapangusa mdomo tu...pole ushachelewa hamna nafac ya ukuu wa wilaya hapa...mshazoea vya bureee
Ww si umekuta za baba yako kinje na kaka yako wa south, kwan nani asiyejua mzee wako yupo upande wa lowasa na ndo mafisadi wenyewe..unatetea ufisadi cuz unajua ndo na familia yako inalia humo...unajiona km mfanyakaz kumbe unakula zisizo zako, mmetunyonya watz mpk mmetubakiza makapi
Kaka unabishana na huyu kinjekitile, umesahau ndo watoto wa mafisadi papa hawa..wazaz wao washaila nchi wameiacha mifupa mitupu..kwa yy anaona hao vidagaa waliokamatwa ndo wanatosha cuz ndo wametolewa km chambo ili wao waendelee kula nchi
Jaman mm nimelipia ile 30,000 ya mkopo kupitia airtel money.
Sasa shida ambayo ipo ni katika ile transaction ID. Katika form za kujaza mikopo wanasema kwenye sehemu ya kujaza hyo tans ID wanataka tarakimu ziwe 9 tu lakini kwa airtel money zinazidi.
Kwa yeyote mwenye msaada kuhusu hili...
nilikuwa naish mwanza kwa kipindi kama miaka kadhaa, na sasa nimehamia Tabra na nmekuja na startimes yangu. Shida ambayo inakuja nikuwa nimefika huku hakionyeshi channel yoyote na nimeenda kwa mawakalaa wao hapa tabora wananiambia mpaka wanifanyie settings flani hivi na bei yake ni kama unanunua...
mimi htc yangu mwez wa 5 sasa ipo katika aeroplane mode, nmejaribu almost kla kitu inakataa kutoka..na imefanya network kuwa off..km kuna la kunisaidia hapo nitashukuru
nilikuwa naish mwanza kwa kipindi kama miaka kadhaa, na sasa nimehamia Tabra na nmekuja na startimes yangu. Shida ambayo inakuja nikuwa nimefika huku hakionyeshi channel yoyote na nimeenda kwa mawakalaa wao hapa tabora wananiambia mpaka wanifanyie settings flani hivi na bei yake ni kama unanunua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.