Ukiongerea ufisadi na CCM ni pete na kidole kwan hata hata Samweli sita jana bungen aliwambia watanzania kuwa Hajaona mgombea hata mmoja waliotangazwa na kujitangaza kuwania nafasi hiyo ndani ya CCM kuwa anauwezo wa kupambana na UFISADI
Na mwaka huu hayupo mtu wa kuwapatanisha kwan 1995 kulikuwa na makundi lakin Nyerere aliyamaliza kwan Nyerere alikuwa anauwezo mkubwa sana wa kupatanisha watu lakin mwaka huu hakuna mtu kama Nyerere so watatafutana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.