sasa mzungumze nn enzi za kuitwa ikulu kubembelezwa hazipotena mkuu wabunge wa CCM ni wengi nyie mnatakaje kwa mfamo huyo ni naibu spika wako kwa miaka 10 kakiwa hai yaani usiompenda kaja tafuta limao au ndimu met wangu
mkiambiwa vilaza mnakasirika tafuta studies za nchi nyingine wanalipa kodi au hawalipi ndio tatizo la kuzaliwa matombo ukasoma matombo ukaishi matombo tembea nchi za watu uone
chanzo cha habari yako maana ofisi zote za serekali hijabu hazikazwi na ukitakiwa thibitisha una ushahidi .
mind u fanya mambo haya ukiwa na uhakika mwenzako Arusha leo kahukumiwa miaka 3 au faini ml 7 ntakushughlikia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.