Recent content by mayaJr45

  1. M

    Young D atiwa mbaroni kwa kumshushia kichapo heavy jirani yake wa kike

    haufuatilii music chid hajawahi kuwa na manager aje ?wenye busara wanaongea wakiwa na jambo la msingi
  2. M

    Serikali iimulike halmashauri ya Ulanga, inanyanyasa wafanyakazi

    hamba madiwan au wabunge au wabunge wenu wapo huku ?pumbavuuuuuuuu in Ray tone
  3. M

    Silinde: Tuko tayari kwa mazungumzo na Naibu Spika

    sasa mzungumze nn enzi za kuitwa ikulu kubembelezwa hazipotena mkuu wabunge wa CCM ni wengi nyie mnatakaje kwa mfamo huyo ni naibu spika wako kwa miaka 10 kakiwa hai yaani usiompenda kaja tafuta limao au ndimu met wangu
  4. M

    Vijana, wadau kumchangia aliyemtukana Rais Magufuli

    bado mtachanga sana awamu ya kujiongelea unachotaka imepita hapa kzi tu sheria na mengine kufuatwa
  5. M

    TCRA, kampuni za Google, Facebook, Whatsapp, Instagram zakwepa kodi ya mabilioni Tanzania

    mkiambiwa vilaza mnakasirika tafuta studies za nchi nyingine wanalipa kodi au hawalipi ndio tatizo la kuzaliwa matombo ukasoma matombo ukaishi matombo tembea nchi za watu uone
  6. M

    Tetesi: Watangazaji wa kike TBC wagoma baada ya kutakiwa kuvua Hijabu zao wakati wa kutangaza

    mkianza kung'olewa meno bila ganzi mnasema mnaonewa fanya siasa zako ila si kwenye dini zetu.
  7. M

    Tamko la UKAWA baada ya Naibu Spika kutangaza kukata posho

    we unaishi wapi au unakurupuka tu ?viwanda vishaanza zalisha vya ndani acha siasa za maji taka
  8. M

    Tamko la UKAWA baada ya Naibu Spika kutangaza kukata posho

    mbunge gani njaa hana?hali ya kafulila au wenje kwa sasa unaijua au unaongea tu wote wanaoigana kwenda hapi kwaajili ya pesa na si vinginevyi
  9. M

    Tetesi: Watangazaji wa kike TBC wagoma baada ya kutakiwa kuvua Hijabu zao wakati wa kutangaza

    chanzo cha habari yako maana ofisi zote za serekali hijabu hazikazwi na ukitakiwa thibitisha una ushahidi . mind u fanya mambo haya ukiwa na uhakika mwenzako Arusha leo kahukumiwa miaka 3 au faini ml 7 ntakushughlikia.
  10. M

    Naibu Spika aagiza wabunge watakaokuwa wanasusia Bunge kutolipwa posho

    hawa hawaeleweki kabisa watumishi hewa
Back
Top Bottom