Recent content by maya mikel

  1. maya mikel

    Computer4Sale Hp Laptop inauzwa

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  2. maya mikel

    Computer4Sale Hp Laptop inauzwa

    Biashara za magendo hizi kwanini usiweke Bei wazi Kama ulivyoweka specs
  3. maya mikel

    Mariam Biriani amevuna alichopanda kuna la kujifunza

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  4. maya mikel

    Tweet ya Mtaji wa 200,000/- ya Benjamin Fernandes ya pata wanunuzi wengi mno.

    Ukishindwa kuelewa hii mpelekee Ras Simba
  5. maya mikel

    Tweet ya Mtaji wa 200,000/- ya Benjamin Fernandes ya pata wanunuzi wengi mno.

    Habari na uwezo wa Benjamin unajulika na Kampuni kubwa duniani. Ulizia Benjamin Google watakuambia ni mtu gani. Tena usiende Marekani hapo kwenye Ofisini zao kenya tu watakuambia. Ulizia uwezo wa Benjamin Instagram na Gates foundation watakupa habari zake. Bado hujaulizia watu wavyuo vikuu...
  6. maya mikel

    Tweet ya Mtaji wa 200,000/- ya Benjamin Fernandes ya pata wanunuzi wengi mno.

    @GoLang na cmoney naheshimu sana mawazo yenu na kile mnachoandika, kwasababu mna Uhuru na haki ya kuongea lakini haimaanishi useme uongo. Mimi sio Benjamin. Nipo tayari verify ID yangu kwa JF kuthibitisha hilo. Kama mnataka kuthibitisha hilo ninyi wenyewe njooni jumatano next week Ofisini...
  7. maya mikel

    Tweet ya Mtaji wa 200,000/- ya Benjamin Fernandes ya pata wanunuzi wengi mno.

    Soma Vizuri Hapo Haikuishia Stanford tu. Ni Stanford na Harvard. Au huoni
  8. maya mikel

    Tweet ya Mtaji wa 200,000/- ya Benjamin Fernandes ya pata wanunuzi wengi mno.

    Wamepanic Kama Ndungay Sent using Jamii Forums mobile app
  9. maya mikel

    Tweet ya Mtaji wa 200,000/- ya Benjamin Fernandes ya pata wanunuzi wengi mno.

    Sure Sent using Jamii Forums mobile app
  10. maya mikel

    Tweet ya Mtaji wa 200,000/- ya Benjamin Fernandes ya pata wanunuzi wengi mno.

    Ghost ID [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sent using Jamii Forums mobile app
  11. maya mikel

    Tweet ya Mtaji wa 200,000/- ya Benjamin Fernandes ya pata wanunuzi wengi mno.

    Anajulika kama Mtanzania wa kwanza kusoma Stanford na Harvard. Al maarufu kama mtanzania aliyekataa mshahara wa zaidi ya 400 ml. Ni yule yule CEO wa Kampuni ya levels za kimataifa --NALA. Ameweza kuleta mjadala mrefu sana huko Twitter na Instagram. Ambao umefanya vijana wengi wa paniki. Kwenye...
  12. maya mikel

    Tigo wamecopy (cloning) features za NALA apps ya benjamin fernandez

    Hapa mzee umechemsha Sana hujui maana ya Bank grade security kwenye NALA. NALA is the most secure mobile money application in Tanzania. Technology ya ulinzi inayotumiwa na NALA ni ile ile inayotumiwa na mabank makubwa duniani. Plus technical team ya NALA imeshiba. Kumbuka NALA inatumia...
  13. maya mikel

    Tigo wamecopy (cloning) features za NALA apps ya benjamin fernandez

    Hapo umenena. Ila ngoja tuendelee kusubiri maana tumeambiwa anatengeneza Benki ya kidigitali ya Africa. Na hivi Kaingia Y Combinator. Tuendelee kula popcorn mapicha picha yakiendelea. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. maya mikel

    Huduma mbovu kituo cha mabasi Ubungo,Dar es Salaam

    Mimi natamani Sana wenye mamlaka wasomi hizi vitu huku JF. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom