traveller_tz
Senior Member
- Mar 1, 2016
- 126
- 139
Wadau vipi kuhusu hii app mpya ya SPENN?
nala atusaidie sisi tunaoshindwa kupokea pesa paypal.....zaidi ya hapo sijiungi nala yake. Haina maana yoyote. Tigopesa app ipo muda mrefu tu. Nala haina jipya
Asipo jikita kwenye advertising yote anayoyafanya itakua ni kaz bure, naona anajisahau sana
MUSK anasaidiwa na Kiki na Drama maana hakauki kwenye media.Daaaah jamaa anaiga pigo za Elon Musk coz kuna siku musk alisema huwa awekezi sana ktk kutangaza. Na yy benj alisema hilo kpnd anahojiwa na millard. Of coz unaweza kutoinvest kwenye kutangaza kama product yako ni superb ila sio kwa NALA coz ni app ya kawaida
MUSK anasaidiwa na Kiki na Drama maana hakauki kwenye media.
Hapa mzee umechemsha Sana hujui maana ya Bank grade security kwenye NALA.Unajua NALA iliposhinda yale mashindano nliifatilia sana coz nakumbuka nlipokua nasoma kuna jamaa alishawahi kuja na hio idea. Ila sasa NALA walichofanya ni kitu cha kawaida mno ambacho pia kina hasara sana kwa upande wa mtumiaji. Japo wameandika kuna 'Bank-grade' security lkn bado sana, tena sana.
Kuna mengi mno ila kiufupi Tigopesa app na NALA hazipaswi kulinganishwa kabisa kwa sababu zifuatazo
1)Japo zote zinaonekana na features zilezile lkn ukiangalia kiundani ziko tofauti sana hasa upande wa security. Hii app ya nala hacker akifanya utundu kdg tu anakuibia password zako zote unazotumia lkn kwa tigo ni vgm.
2)NALA haina kitu special zaidi ya kufanya Automated USSD calls. Yaan NALA app inakusanya data baada ya ww kuzitoa thn inaanza kufanya ussd calls kama ww tu unavyofanya sema app inaweka cover kwa juu ili ww usiione hio dialog ya ussd calls. Lkn ni kama tu ww unavyobonyeza *150*00# kwenye simu yako
3)NALA ktk security ina changamoto. Hacker akibind scripts fln kwenye apk ya nala afu ww ukaanza kuitumia ndo utakua umepoteza details zako nyng coz Nala app inapermission ya kutuma sms kitu ambacho sio neccessary kwenye app coz sijaona ulazima wake. Sasa hacker anaweza kubind scripts ambazo zinatuma hizo passwords unazondika kwa njia ya sms kwenda kwake.
Inshort NALA na tigopesa app sio za kulinganishwa Tigopesa app is much higher. Sema tu jamaa wa nala kusoma kwake Stanford ndo kulimbeba kushinda ile award lkn otherwise kilikua ni kitu cha kawaida sana.
Huwezi kuilinganisha kabisa NALA na hizi Apps nyingine. NALA ni kitu kingine kabisa yaani.Unajua NALA iliposhinda yale mashindano nliifatilia sana coz nakumbuka nlipokua nasoma kuna jamaa alishawahi kuja na hio idea. Ila sasa NALA walichofanya ni kitu cha kawaida mno ambacho pia kina hasara sana kwa upande wa mtumiaji. Japo wameandika kuna 'Bank-grade' security lkn bado sana, tena sana.
Kuna mengi mno ila kiufupi Tigopesa app na NALA hazipaswi kulinganishwa kabisa kwa sababu zifuatazo
1)Japo zote zinaonekana na features zilezile lkn ukiangalia kiundani ziko tofauti sana hasa upande wa security. Hii app ya nala hacker akifanya utundu kdg tu anakuibia password zako zote unazotumia lkn kwa tigo ni vgm.
2)NALA haina kitu special zaidi ya kufanya Automated USSD calls. Yaan NALA app inakusanya data baada ya ww kuzitoa thn inaanza kufanya ussd calls kama ww tu unavyofanya sema app inaweka cover kwa juu ili ww usiione hio dialog ya ussd calls. Lkn ni kama tu ww unavyobonyeza *150*00# kwenye simu yako
3)NALA ktk security ina changamoto. Hacker akibind scripts fln kwenye apk ya nala afu ww ukaanza kuitumia ndo utakua umepoteza details zako nyng coz Nala app inapermission ya kutuma sms kitu ambacho sio neccessary kwenye app coz sijaona ulazima wake. Sasa hacker anaweza kubind scripts ambazo zinatuma hizo passwords unazondika kwa njia ya sms kwenda kwake.
Inshort NALA na tigopesa app sio za kulinganishwa Tigopesa app is much higher. Sema tu jamaa wa nala kusoma kwake Stanford ndo kulimbeba kushinda ile award lkn otherwise kilikua ni kitu cha kawaida sana.
Kusoma Stanford sio sababu ya kushinda kama ndio hivyo basi kila graduate wa Stanford anashinda tu.Unajua NALA iliposhinda yale mashindano nliifatilia sana coz nakumbuka nlipokua nasoma kuna jamaa alishawahi kuja na hio idea. Ila sasa NALA walichofanya ni kitu cha kawaida mno ambacho pia kina hasara sana kwa upande wa mtumiaji. Japo wameandika kuna 'Bank-grade' security lkn bado sana, tena sana.
Kuna mengi mno ila kiufupi Tigopesa app na NALA hazipaswi kulinganishwa kabisa kwa sababu zifuatazo
1)Japo zote zinaonekana na features zilezile lkn ukiangalia kiundani ziko tofauti sana hasa upande wa security. Hii app ya nala hacker akifanya utundu kdg tu anakuibia password zako zote unazotumia lkn kwa tigo ni vgm.
2)NALA haina kitu special zaidi ya kufanya Automated USSD calls. Yaan NALA app inakusanya data baada ya ww kuzitoa thn inaanza kufanya ussd calls kama ww tu unavyofanya sema app inaweka cover kwa juu ili ww usiione hio dialog ya ussd calls. Lkn ni kama tu ww unavyobonyeza *150*00# kwenye simu yako
3)NALA ktk security ina changamoto. Hacker akibind scripts fln kwenye apk ya nala afu ww ukaanza kuitumia ndo utakua umepoteza details zako nyng coz Nala app inapermission ya kutuma sms kitu ambacho sio neccessary kwenye app coz sijaona ulazima wake. Sasa hacker anaweza kubind scripts ambazo zinatuma hizo passwords unazondika kwa njia ya sms kwenda kwake.
Inshort NALA na tigopesa app sio za kulinganishwa Tigopesa app is much higher. Sema tu jamaa wa nala kusoma kwake Stanford ndo kulimbeba kushinda ile award lkn otherwise kilikua ni kitu cha kawaida sana.
Ni kweli. Nili install mwisho wa siku nikaona ni uwacki tuasante sana i love the app .. na pia naitumiaga app ila its overated ya kawaida sana
Sent using Jamii Forums mobile app
MUSK anasaidiwa na Kiki na Drama maana hakauki kwenye media.
Musk hajaanzisha Tesla. Ali-invest sana wakati kampuni inasuasua na investors wenzake wakaona awe CEO.Wengi mmeanza mjua Elon Musk baada ya kuanzisha Tesla. Musk has been in the game since he was 12 yrs old.
Musk hajaanzisha Tesla. Ali-invest sana wakati kampuni inasuasua na investors wenzake wakaona awe CEO.