Wakuu natafuta kazi kati ya hizi stationary, kazi ya kuuza duka, sheli ulinzi au nyingine yoyote ya halali
Elimu: kidato cha sista
Sex: female
Location: Dar es salaam
Language: English & kiswahili
Experience: kazi ya stationary 2years
Wakuu habari napenda kufanya ufugaji wa bata ila nakwamisha na mazingira niliopo naomba ushauri au hata msaada ili niweze kuongeza kipato kupitia ufugaji huu ninaishi Mombasa nimepanga chumba kimoja namimi napenda ufugaji
Wakuu nahitaji kuingia kwenye biashara ya mabegi ya mtumba kunawateja wanachukuwa mzigo Tandika mezani kwa bei ya elfu 4 hadi elfu 5.
Naomba kufahamu ni wapi eneo sahihi la kupata mabegi safi ya mtumba, kama pia karume naweza pata mzigo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.