Art 716000Kama ni arts je ?? Means kuna utofauti na sayansi!?? Wakati wote na walimu na level ni moja??
Art 716000Kama ni arts je ?? Means kuna utofauti na sayansi!?? Wakati wote na walimu na level ni moja??
Saw,take home ngap hapo baada ya makato mengine na board ya mikopo?Art 716000
475000Saw,take home ngap hapo baada ya makato mengine na board ya mikopo?
785200.5Vipi juhusu TRAS
Mbona TGHS za afya sizioni hapo wakuu? Mnisaidie tafadhaliWanabaraza naomba mnitoe tongo tongo TGS D (Tanzania Gov. Scale D) ni shilingi ngapi kwa sasa? Nataka kuachia tawi Private Sector niende huko lakini sijui kukoje...
==============
July 2014 UPDATE:
Tgs d-710,000Ningependa kujua mshahara wa TGS D na TGS E
Mkuu samahani vipi kuhusu viwango vya ncaa yaan ngorongoro conservayion area ncaa 4 na ncaa 3Tgs d-710,000
Tgs e-960,000
Anakaza tu ubongo HugoUsilolijua bibie ofisi ina uhitaji wa operation officers 16. Sita tayari washachukua kimya kimya.
Kumi waliotangazwa ni bosheni tu mama yangu, vimemo vishafanya kazi, TPA ni maskani
Za ndani ndani kabisaa. Mkuu nakusalimiaHiyo post unayotaka kuomba hapa TPA zote 16 tayari zina watu.
Pole dada yangu
E 940,000Tgs d-710,000
Tgs e-960,000