Inapunguza makali ya ugongwa.hupati adhabu sana hulali viuongo vinauma tu na maumivu makali kichwa hakiponi na usikii harufu yeyote ile wala hupati testa ya kitu chochote.nimepona bila kunywa dawa yeyote ila cha moto nimekipata.kama kuna chanjo nachanja mapema adhabu za corona kali sana
Ndugu uzalendo umekujaa mpaka unapitiliza
Mbowe mchaga ameanza kunywa bia tangu mtoto bia za jana tu ndio zimvunje mguu.
Ukiwa unaropoka weka na yaakiba.
Njia moja tu chukia waandishi wahabari nenda nao wote kwenye vituo vya walipohifadhiwa wagonjwa wa korona wakikuta hamna mtu si wata aibika wao au pima watu wote kuwa hakikishia tupo salama.tatizo hatuonyeshi kwa vitendo tunasema kwa maneno tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.