Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche, amesema Chama hicho kinaendelea kushikilia msimamo wake thabiti kuhusu masuala ya haki na uwajibikaji kufuatia matukio yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, akisisitiza kuwa haki haihitaji...