Recent content by Mawele

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kuna Maiti inadaiwa kuokotwa kwenye mtaro, Mwenge Coca-Cola road mkabala na Natai Plaza ikiwa imetolewa macho

    Mwili wa mwanaume ambae mpaka sasa bado haujatambulika umeokotwa asubuhi hii kwenye mtaro eneo la Mwenge njia ya Coca-Cola, karibia na Jengo la Josam house. Mashuhuda wanasema umetolewa macho yote mawili, Polisi wameuchukua inasemakana wameupeleka Mwananyamala Hospital. Hakuna aliyesalama
  2. M

    JamiiForums Tanzania Lema: Nimeona sintofahamu mtandaoni baada ya pole kwa Mama Samia. Tunaodai kupigania uhuru wa maoni na demokrasia, hili linapaswa kutufikirisha

    Nimeona matusi na sintofahamu nyingi mtandaoni baada ya kuchapisha ujumbe wa kutoa pole kwa Mama Samia, hasa niliponukuu salamu za pole za Mwenyekiti Lissu kutoka gerezani. Kwa sisi jamii tunaodai kupigania uhuru wa maoni na demokrasia, hili linapaswa kutufikirisha. Kutofautiana kwa hoja...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Rukwa: Wananchi wateketeza kwa moto shamba la mwekezaji wakitafuta panya kwa ajili ya kitoweo!

    Moto Mkubwa uliosababishwa na baadhi ya wananchi umeteketeza eneo la Mwekezaji Suba Agro katika Kata ya Kipande, Wilaya ya Nkasi Mkoani Rukwa. Kwa mujibu wa Taarifa ya Mkuu wa Wilaya ya Nkasi, Peter Lijualikali amesema moto huo umesababishwa na wananchi walioukuwa wakitafuta kitoweo cha Panya...
  4. M

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo: Iwapo Nchimbi hataonekana hadharani ndani ya wiki moja tutaiburuza Serikali mahakamani

    Msifanye mzaha kwenye maisha ya watu, nampa Rai Katambi, ndani ya wiki moja awe ametoka hadharani na kueleza Dkt. Nchimbi yuko wapi na yuko salama. Isizidi hata wiki moja, kama hatafanya hivyo tutafuata taratibu za kisheria kuiburuza serikali Mahakani.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Tuambie hali ya mahusiano yako kwa kutumia kipande cha wimbo

    Kwa upande wangu mimi kipande cha wimbo kinachoelezea mahusiano yangu hiki: May be this love not for me........ I'm single....I'm Single again by Konde boy Wewe Je?
  6. M

    JamiiForums Tanzania Arusha: Mwili wa Bodaboda aliyekuwa kapotea wakutwa umekatwa shingo na kutobolewa macho

    DEREVA BODABODA ALIYEPOTEA ARUSHA, MWILI WAKUTWA UKIWA UMEKATWA SHINGO NA KUTOBOLEWA MACHO Hamis Idd Masimba, mwenye umri wa miaka 24, dereva wa bodaboda katika kijiji cha Mlima CCM, Kata ya Murieti jijini Arusha, aliyeripotiwa kupotea, mwili wake umekutwa katika Kata ya Olasiti ukiwa na...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mchanganyiko gani wa matunda unapenda juisi yake?

    Zipo juisi za mchanganiko wa matunda wa aina nyingi ila kwa upande wangu napenda sana mchanganyiko wa Parachichi, Embe, pasheni na iriki na nikikosa embe natmia nanasi, huu naweza kunywa hata kila siku mwaka mzima na nisiuchoke. Wewe unapenda juisi ya tunda gani?
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kigoma: Wanawake wakiuza bidhaa kwenye boti huku wao wakiogelea

    Wanawake wa Ziwa Tanganyika wanauza bidhaa kwa wasafiri wa boti wao wakiwa wanaogelea/wanaelea ndani ya maji.” Umaskini siyo ufahari. Kujaribu kusema “Mungu anampa kila mmoja riziki kwa jinsi anavyoitafuta”.., That’s a total non-starter. Hawa wananchi kwa uwepo wa Ziwa Tanganyika, walitakiwa...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Roma Mkatoliki: Silaha kubwa wanayotumia ni Watanzania tumeshawazoea, watapiga tu kelele siku tatu, ya nne watasahau na kuendelea na maisha”

    Silaha kubwa wanayoitegemea na kuitumia watawala ni hii sentesi “Watanzania tumeshawazoea, watapiga tu kelele siku tatu, ya nne watasahau na kuendelea na maisha” Hiyo silaha wanaitumia kwenye kila uchafu wanaoufanya…….. And yes, so far ina~work ✅ Untill tutakapoamua kuwaonyesha tofauti.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Duchu: Jina ni langu natamba nao, suala hili lipo kwenye mikono ya sheria, kazini wamechukua hatua

    "Ai see, hilo swala bwana... Kwanza ningetamani sana kukujibu lakini sasa ha- hili jambo pia lipo kwenye... kwenye mikono ya sheria kwa hiyo sasa kila... Kwa upande wa ambao wanalilalamikia jina... wanaosema wamepotezea jina nao wana... wana mashtaka yao, lakini na mimi pia nina mashtaka yangu...
  11. M

    JamiiForums Tanzania RESOLVED KERO Maeneo ya Stendi ya Mbezi Malamba, Darajani, korido la jengo la Abiria na Gereji (Stendi ya Magufuli) kunanuka mikojo

    Mbezi Stendi ya Malamba, Darajani, jengo la Abiria Stendi ya Magufuli na Gereji yake kunanuka mikojo Nimepita Mbezi Luis maarufu kwa jina la Mbezi Mwisho, nikitokea Kinyerezi, nimeshuka Stendi ya chini maarufu kama Stendi ya Maramba nikapandisha ngazi kuelekea Stendi ya Daladala, maeneo mengi...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mlinzi adaiwa kumpiga risasi mwananchi Morogoro

    Mlinzi wa Kituo cha Mafuta cha Puma kilichopo Kata ya Kihonda Maghorofani, Manispaa ya Morogoro, anadaiwa kumpiga risasi mwananchi aliyekuwa ameegesha gari katika eneo la kituo hicho. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, mwananchi huyo alikuwa ameegesha gari katika eneo la kituo hicho kwa...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Njia rahisi ya kuondoa Mende Jikoni

    Zipo njia mbalimbali za asili za kuondoa wadudu kwenye zetu, wengi hatuziahamu, kama unajua yoyote shea hapa tuweze kuijua na kuitumia
  14. M

    JamiiForums Tanzania Video: Mbona kama Taarifa ya Polisi kuna namna ilitupiga kuwa Conrad Agonza Kayoza alipigwa na wananchi hadi kupelekwa hospitali?

    Tuvitisho twa kitoto, Soma broo ujue mambo
Back
Top Bottom