Recent content by Mawele

  1. M

    Simba 3-0 Mlandege | New Amani Zanzibar Kombe la Muungano | 26 Aprili 2026. Fainali ni Simba vs Yanga

    Mnyama anaunguruma Zanzibar, Dabi ipo pale pale hakuna kukimbia Fainali ya Kombe la Mapinduzi 2026 inatarajiwa kuzikutanisha Yanga dhidi ya Simba, hiyo ni baada ya Simba kuitafuna Mlandege Magoli 3 -0 kwenye Nusu Fainali iliyopigwa Uwanja wa Amaan, Aprili 26, 2026. Fainali hiyo inatarajiwa...
  2. M

    PostGE2025 Nyalandu: Serikali ilienda kulinda watu, tuna ushahidi waandamanaji walikuwa na bunduki na mabomu

    BarbaraGSerra: "You may call it rescuing the day, but I go back to my question, was the government responsible for the shooting and killing of around 500 protesters?" Ambassador Lazaro Nyalandu, senior advisor to Tanzanian president Samia Suluhu Hassa, responds to claims security forces killed...
  3. M

    Ili wapike matapishi yale ilikuwa lazima waende gizani, wazuie taarifa za live wakati wa mchakato

    Naona ugumu kukichafua cheo cha Jaji kwani ni adhimu na chenye heshima kwa anayestahili kuheshimiwa nacho na Wewe Chawa, Chande umejivua cheo hicho, acha nisionekane mtovu wa nidhamu kwa wakubwa nikuite Mzee Chande kutokana na Mvi zako. Nachelea kusema kwamba, kama wasingeenda gizani upisha wa...
  4. M

    Hilda Newton awajibu Polisi baada ya wito. Asema Sijileti ng'o mpaka mifumo ya utoaji haki iwepo ndio nitaleta ushahidi

    Kwamba Jeshi la Polisi mnataka mie nifike kwa DCI? Mnataka nijilete kwenu nyie ambao April 24, 2025 mliniteka pale Mahakama ya Kisutu mkakaa na Mimi Central Police kisha mkanijazisha na kunisainisha fomu ili nijidhamini halafu nimetoka tu nje mkanigeuka, Mkanikamata tena na kuniweka lockup...
  5. M

    Polisi inafanya uchunguzi kutokana na taarifa ya Hilda Newton aliyochapisha kuwa Serikali imepanga kumuua Lissu kwa Risasi

    TAARIFA KWA UMMA Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wa kukusanya ushahidi kutokana na taarifa ya Hilda Newton aliyochapisha na kusambaza katika Mitandao ya Kijamii tarehe 10.4.2026. Taarifa hiyo ilikuwa inasema pamoja na mambo mengine kuwa, Serikali imepanga kumuua Mhe. Lissu kwa risasi...
  6. M

    Heche: Hatuko tayari kutumiwa kulaghai

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche, amesema Chama hicho kinaendelea kushikilia msimamo wake thabiti kuhusu masuala ya haki na uwajibikaji kufuatia matukio yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, akisisitiza kuwa haki haihitaji...
  7. M

    Heche: Nchi ya Tatu kwa dhahabu duniani, ina almasi, Tanzanite na utajiri mwingi, mnajisifu kujenga kilomita 16000 za barabara kwa miaka 65

    Ukitaka kujua aina ya watu wanaojiita watawala na level ya fikra zao na uwezo wao, Msikilize huyu bwana Ulega!!!! Yaani una Nchi yenye kilometa za mraba 945,000. Nchi pekee yenye Tanzanite duniani, Nchi pekee yenye mbuga kubwa kuliko zote Duniani, Serengeti, Ngorongoro nk. Nchi ya tatu kwa...
  8. M

    Mbunge Viti Maalumu, Zainab: Siyo kila biashara inahitaji mtaji, zingine wazo tu, Vijana wakitumia mitandao vizuri wanaweza kupata 50,000 kwa siku

    Mbunge Viti Maalumu, Zainab: siyo kila biashara inahitaji mtaji, zingine wazo tu, kama kuwa MC unahigaji mtaji gani? Kama vijana watapatiwa uwezo wa kutumia mitandao ya kijamii vizuri, wataweza kutengenez vipato vyao na kuweza kupata 50,000 kwa siku, kupata 1500,000 kwa mwezi. Serikali imesema...
  9. M

    TBS: Energy Drinks zisichanganywe na vilevi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Dkt. Ashura Katunzi amesema kinywaji cha kuongeza nguvu (energy drink) hakipaswi kuchanganywa na vilevi, bali vinywaji laini, kwani kufanya hivyo ni hatari kwa afya.
  10. M

    Tume ya kuchunguza mauaji ya Kibao iko wapi mbona kimya? Uchunguzi kuhusu utekaji na mauaji umefikia wapi? Au tume ni mbinu ya kukwepa kuwajibika?

    Tume ya kuchunguza mauaji ya Kibao iko wapi? Uchunguzi kuhusu utekaji na mauaji umefikia wapi? Siku zinakwenda miezi inakata, hakuna taarifa ya nani Kamteka na kamuua Kibao licha ya kuahidiwa tume ya kuchunguza tukio lile, ina maana tume huwa hazina kikomo cha kwamba baada ya muda fulani kupita...
  11. M

    Tim Cook Ajiuzulu Kama Mkurugenzi Mtendaji wa Apple

    Mkurugenzi Mtendaji wa Apple, Tim Cook (65) amejiuzulu nafasi hiyo. Cook amehudumu kama CEO tangu mwaka 2011 aliporithi nafasi hiyo kutoka kwa Steve Jobs.ll
  12. M

    Nanauka: Serikali inatazamia kuanzisha benki ya Vijana

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Joel Nanauka amesema serikali inaendelea na utafiti wa kuanzisha Benki ya Vijana itakayolenga kutoa huduma za kifedha zinazokidhi mahitaji ya vijana Nchini. Amesema hayo wakati akiwasilisha hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara...
  13. M

    Marekani: Baba awaua kwa Risasi watoto Wake 7 kisa mgogoro wa kifamilia

    Baba amewaua kwa risasi watoto wake 7 pamoja na mtoto mmoja asiye wa familia yake, wenye umri kati ya mwaka 1 hadi miaka 14, katika Jimbo la Louisiana nchini Marekani, chanzo kikielezwa kuwa ni mgogoro wa kifamilia. Aidha, wanawake wawili, akiwemo mama wa baadhi ya watoto hao, wamejeruhiwa kwa...
Back
Top Bottom