Recent content by Mawele

  1. M

    KERO Chemba inayotiririsha maji taka kando ya Soko jipya la Kariakoo ni tishio kwa afya

    Kuna chemba ya maji taka inayotiririsha uchafu kando ya Soko jipya la Kariakoo, ambalo limezinduliwa hivi karibuni na Rais Samia Suluhu Hassan. Chemba hiyo ipo kwenye kona ambapo daladala za kuelekea Masaki hupaki. Chemba hiyo limekuwa kero ya muda mrefu kwa wananchi na wafanyabiashara...
  2. M

    Dunia ina mambo! Eti kuna watu wapo kwenye sababu wanawadai wenza wao vinginevyo wangeshaachika

    Kumbe kuna watu wanabaki ndoani kisa wanawadai wenza wao, yaani mtu kashaona hapa hapakaliki ila sababu aliwahi kumkopesha mwenza wake pesa anaona akimuacha na pesa itapotea hivyo anaendelea kubaki kusubiri mpaka alipwe ndio kama kuondoka aondoke. Sikiliza mwenyewe
  3. M

    Rais Samia: Tumempoteza Lukuvi, tulimhitaji zaidi leo kuliko jana

    Rais Samia Suluhu Hassan amesema Taifa limempoteza William Lukuvi katika kipindi kigumu ambacho dunia inakabiliwa na migogoro inayoweza kuathiri uchumi na kupandisha bei za bidhaa. Akizungumza katika hafla ya kuaga mwili wa Lukuvi leo Jumamosi, Machi 28, 2026, iliyofanyika katika ukumbi wa...
  4. M

    Rais Samia: Vita vikiendelea Uchumi wa Dunia utayumba

    Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema katika kipindi hiki ambacho Dunia inashuhudia misuguano na machafuko katika maeneo mbalimbali ambayo yanapelekea kupanda kwa gharama za maisha ikiwemo bei za bidhaa na mafuta, Taifa la Tanzania lilimuhitaji Waziri...
  5. M

    Tabora: Baba adaiwa kuchinja mtoto mchanga akidai si wake

    Bunzali Jidola (30), mkazi wa Kijiji cha Imalanguzu, Igunga mkoani Tabora, anadaiwa kumchinja na kumuua mtoto wake mwenye umri wa miezi miwili kwa kutumia kitu chenye ncha kali, kumjeruhi mke wake, na kisha kujinyonga. Kamanda wa Polisi, Richard Abwao ameeleza kuwa mwanaume huyo alimtuhumu mke...
  6. M

    Paschal Mayala: CHADEMA wajishushe, wakubali maridhiano

    Anajipendekeza sana
  7. M

    Hofu yatanda kwa wafanyabiashara wa Coco Beach, wadai kupewa mwezi mmoja kuondoka kumpisha mwekezaji

    Hofu yatanda kwa wafanyabiashara wa Coco Beach: Wadai kupewa mwezi mmoja kuondoka kumpisha mwekezaji. Wakizungumza na The Chanzo leo, wajasiriamali na wafanyabiashara wadogo kwenye fukwe za Coco wamesema baadhi ya viongozi na watendaji wa Halmashauri ya Kinondoni waliwaita na kuwapa taarifa ya...
  8. M

    Paschal Mayala: CHADEMA wajishushe, wakubali maridhiano

  9. M

    Kihongosi aonya vijana kushangilia vifo

    Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi, Kenani Kihongosi, amewaonya vijana kuacha tabia ya kutumia mitandao ya kijamii kushangilia vifo, na amesisitiza umuhimu wa kulinda amani na mshikamano wa taifa. Akizungumza katika ziara yake, Kihongosi alisema vijana ni nguvu ya taifa...
  10. M

    Rungwe: 18 wafariki kwa maporomoko

    Watu 18 wamefariki dunia katika Wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya hii ni baada Mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia leo kusababisha maporomoko ya udongo kutoka milimani kuvamia Makazi ya Wananchi katika kata mbalimbali. Timu ya Zimamoto na Uokoaji kwa kushirikiana na Kamati ya Ulizi na Usalama...
  11. M

    Kufungiwa JamiiForums: Mahakama Kuu yayatupilia mbali mapingamizi ya Jamhuri. Kesi rasmi kuendelea

    Hii ni kesi muhimu sana haki itendeke, TCRA imetumika kama dekio la kudeki matapishi ya watawala. Serikali ya hovyo sana hii kuwahi kutokea
  12. M

    Huwa unafanya vitu gani baada ya kutoka kazini ili kuuweka mwili sawa kwa siku nyingine?

    Ningekuwa najua kuendesha ningetafuta baiskeli na mimi ila ndio sijui
Back
Top Bottom