Wauguzi kutoka Taasisi ya Saratani Ocean Road, (ORCI) mapema leo tarehe 29/05/2026 wamefanya maadhimisho ya siku ya wauguzi kwa kusherehekea pamoja na kula chakula na wagonjwa kutoka katika Taasisi hiyo.
Akizungumza katika sherehe hiyo, mkurugenzi wa huduma za wauguzi aliyestaafu Sr. Mary Haule...
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imetoa zawadi ya sh. milioni 500 kwa Timu ya Taifa ya Tanzania ya vijana chini ya miaka 17 (Serengeti Boys) kwa kufanikiwa kutinga hatua ya fainali ya mashindano hayo na kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania kimataifa.
Dkt. Mwigulu amesema hayo...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Mtu akifanya mema kwa Binadamu mwenzake sio lazima yalipwe kwake.
Dkt. Nchimbi ameyasema hayo leo akitolea mfano wa mchango wa Hayati John Pombe Magufuli uliotengezwa na Mama yake, marehemu Suzana Musa ambaye...
Madaktari nchini wameonya kuwa wako tayari kuanzisha mgomo wa kitaifa kupinga mpango wa serikali wa kuanzisha kituo cha karantini na matibabu ya Ebola katika Kituo cha Jeshi la Anga cha Laikipia.
Katibu Mkuu wa Chama cha Madaktari, Wafamasia na Madaktari wa Meno (KMPDU), Davji Bhimji Atellah...
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Dkt. Asha-Rose Migiro, amefafanua kiundani sababu zilizoifanya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya chama hicho kuvipongeza vyombo vya ulinzi na usalama kufuatia matukio ya ghasia za Oktoba 29, 2025, akisema kuwa kazi ya ziada iliyofanywa na majeshi...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kazi kubwa iliyopo mbele yake kwa sasa ni kupambana kuiondoa CCM (Chama Tawala Nchini Tanzania) madarakani kwa njia ya kidemokrasia
Kauli hiyo imetolewa na Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Tanzania Bara Amani Golugwa wakati akizungumza na...
Meta Imeweka Mkazo Zaidi Kwenye Huduma za Kulipia (Subscriptions)
Siku ya Jumatano, kampuni hiyo kubwa ya mitandao ya kijamii ilitangaza kuwa inazindua rasmi huduma zake za kulipia kwa watumiaji wa kawaida duniani kote kwenye programu zake kuu za Instagram, Facebook, na WhatsApp. Pia, imeanza...
Kombo: Rais Analaumiwa Wazazi Hawalaumiwi— "Tumuoneeni huruma kiongozi wetu"
Akiwasilisha bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje, jana Mei 26, 2026, Balozi Mahmod Kombo amewataka Wabunge kumlinda Rais dhidi ya mashambulizi ya shutuma mbalimbali hasa kufuatia matukio ya Oktoba 29, 2025.
“Anayepitia...
Simanzi imeikumba familia moja wilayani Moshi Vijijini baada ya mtoto mwenye umri wa miaka mitatu, Francis David, kupoteza maisha kwa kuteketea ndani ya nyumba iliyoshika moto katika Kitongoji cha Mwitini, Kijiji cha Mwasi Kusini, Kata ya Uru Mashariki.
Tukio hilo limetokea Mei 26, 2026 majira...
TUACHE PROPAGANDA JUU YA UHAI WA WATANGANYIKA.
Hakuna Taifa linalotuonea wala kutuingilia mambo yetu ya ndani kinyume na Sheria za Kimataifa.
Yanayotupata leo yanatokana zaidi na ujinga wetu wenyewe, ukatili wetu wenyewe, na kushindwa kuwajibika kwa mujibu wa Sheria na Katiba ya nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.