Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi, Kenani Kihongosi, amewaonya vijana kuacha tabia ya kutumia mitandao ya kijamii kushangilia vifo, na amesisitiza umuhimu wa kulinda amani na mshikamano wa taifa.
Akizungumza katika ziara yake, Kihongosi alisema vijana ni nguvu ya taifa...