Mtuhumiwa hawezi kujichunguza mwenyewe.
Tangu mwanzo tulisema tume ya Jaji Chande haiwezi kuleta ukweli, iliundwa kuficha ukweli na kusafisha watuhumiwa.
Ndio maana ile tume ilikuja na hoja za ajabu kwamba:
1. Watu wanatekwa kwasababu za kimapenzi
2. Kwasababu za ushirikina
3.kwasababu za...
Katika hatua ya kuimarisha ukomavu na maridhiano ya kisiasa na ushirikishaji nchini, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amekubali ombi la viongozi wa vyama vya upinzani la kuambatana naye katika safari zake za nje ya nchi. Hatua hiyo imepokelewa kwa furaha na wadau...
Mtaalamu wa Saikolojia, Dkt. Leonard Mgina, amesema Wanaume wengi hufariki dunia mapema kutokana na kubeba majukumu mengi ya kifamilia, huku wakiachwa kuyasimamia peke yao hali ambayo ameleza kuwa inachangia ongezeko la Wanawake wengi kubaki Wajane.
Akizungumza katika mahojiano maalum na Jambo...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Serengeti, Lucas Ngoto ameonya dhidi ya kile alichokiita kuwa ni mipango ya kumfuatilia na kumtishia usalama wake Makamu Mwenyekiti wa chama hicho bara, John Heche..
Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika Sirari...
Katibu wa NEC, Organizesheni wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Chacha, amesema kunyima watu haki kunajenga tabaka baya katika jamii, akisisitiza kuwa chama kitahakikisha wanachama wake wanapata haki, uhuru na usalama.
Akizungumza wakati wa hafla ya mapokezi ya wajumbe wa Sekretarieti ya CCM...
Mimi ni mama wa watoto wawili najishugulisha na biashara ya nguo Kariakoo yaani machinga Jana nimepokonywa mzigo wangu na MGAMBO wa jiji kwenda kukomboa wanataka faini ya elfu 50 Mpaka LAKI 3.Kiukweli inakatisha tamaa wakati Mwingine unaweza hata kujiua mateso tunayopitia machinga ni mengi...
Mhojiwa (Mwanamke):
"Laba nitoe mfano sasa hivi. Unajua sasa hivi hata hali ya kisiasa, kwa ninavyotazama mimi, kwa namna ambavyo naiona, hali ya kisiasa ina utofauti mkubwa sana na hali ya siasa ya kipindi kilichopita. Kwa nini? Hata upinzani wa sasa hivi una utofauti na upinzani uliopita."...
Kwa nini wamwite ndumilakuwili? Kwani kusema Watanzania wapambanie katiba mpya ndio kuaacha kuwa msaidizi wa Samia na kuwa mshindani, kwani kudai katiba ni ushindani kwa Samia au ni takwa la Wananchi, kuna dhambi gani wananchi wakipata katiba mpya wanayotaka
NDUMILAKUWILI?
Ukurasa wa mbele wa gazeti la JAMVI LA HABARI umechapisha katuni inayoonyesha ukigeugeu wa kauli za kiongozi mmoja mashuhuri nchini, kwa kulinganisha kauli aliyoitoa Agosti 9, 2025 aliposema kuwa atakuwa "msaidizi na si mshindani", na kauli yake ya sasa inayowataka wananchi...
Katika Nchi ambayo uhusiano wa serikali na wananchi ni wa kikatiba.
Uhusiano wa Mwananchi kama muajiri na serikali kama muajiriwa huwezi kuona upuuzi kama huu.
Nchi hii wananachi wanachukuliwa kama watumwa na watawala kama watwana au wamiliki wa watumwa.
Nimeona utetezi wa jeshi la polisi...
Kuna utapeli wa aina nyingi sana kwenye miamala ya kifedha na mtandaoni, kila siku wezi wanabuni mbinu mpya.
Umakini unahitajika sana, hesabu pesa na kucheki balance kila unapofanya muamala wa kupokea kwani hata mawakala nao wanatapeli wateja, kutuliza akili ni jambo la muhimu sana.
Usikubali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.