Mwili wa mwanaume ambae mpaka sasa bado haujatambulika umeokotwa asubuhi hii kwenye mtaro eneo la Mwenge njia ya Coca-Cola, karibia na Jengo la Josam house. Mashuhuda wanasema umetolewa macho yote mawili, Polisi wameuchukua inasemakana wameupeleka Mwananyamala Hospital.
Hakuna aliyesalama
Nimeona matusi na sintofahamu nyingi mtandaoni baada ya kuchapisha ujumbe wa kutoa pole kwa Mama Samia, hasa niliponukuu salamu za pole za Mwenyekiti Lissu kutoka gerezani.
Kwa sisi jamii tunaodai kupigania uhuru wa maoni na demokrasia, hili linapaswa kutufikirisha. Kutofautiana kwa hoja...
Moto Mkubwa uliosababishwa na baadhi ya wananchi umeteketeza eneo la Mwekezaji Suba Agro katika Kata ya Kipande, Wilaya ya Nkasi Mkoani Rukwa. Kwa mujibu wa Taarifa ya Mkuu wa Wilaya ya Nkasi, Peter Lijualikali amesema moto huo umesababishwa na wananchi walioukuwa wakitafuta kitoweo cha Panya...
Msifanye mzaha kwenye maisha ya watu, nampa Rai Katambi, ndani ya wiki moja awe ametoka hadharani na kueleza Dkt. Nchimbi yuko wapi na yuko salama.
Isizidi hata wiki moja, kama hatafanya hivyo tutafuata taratibu za kisheria kuiburuza serikali Mahakani.
Kwa upande wangu mimi kipande cha wimbo kinachoelezea mahusiano yangu hiki: May be this love not for me........ I'm single....I'm Single again by Konde boy
Wewe Je?
DEREVA BODABODA ALIYEPOTEA ARUSHA, MWILI WAKUTWA UKIWA UMEKATWA SHINGO NA KUTOBOLEWA MACHO
Hamis Idd Masimba, mwenye umri wa miaka 24, dereva wa bodaboda katika kijiji cha Mlima CCM, Kata ya Murieti jijini Arusha, aliyeripotiwa kupotea, mwili wake umekutwa katika Kata ya Olasiti ukiwa na...
Zipo juisi za mchanganiko wa matunda wa aina nyingi ila kwa upande wangu napenda sana mchanganyiko wa Parachichi, Embe, pasheni na iriki na nikikosa embe natmia nanasi, huu naweza kunywa hata kila siku mwaka mzima na nisiuchoke.
Wewe unapenda juisi ya tunda gani?
Wanawake wa Ziwa Tanganyika wanauza bidhaa kwa wasafiri wa boti wao wakiwa wanaogelea/wanaelea ndani ya maji.” Umaskini siyo ufahari. Kujaribu kusema “Mungu anampa kila mmoja riziki kwa jinsi anavyoitafuta”.., That’s a total non-starter.
Hawa wananchi kwa uwepo wa Ziwa Tanganyika, walitakiwa...
Silaha kubwa wanayoitegemea na kuitumia watawala ni hii sentesi
“Watanzania tumeshawazoea, watapiga tu kelele siku tatu, ya nne watasahau na kuendelea na maisha”
Hiyo silaha wanaitumia kwenye kila uchafu wanaoufanya……..
And yes, so far ina~work ✅
Untill tutakapoamua kuwaonyesha tofauti.
"Ai see, hilo swala bwana... Kwanza ningetamani sana kukujibu lakini sasa ha- hili jambo pia lipo kwenye... kwenye mikono ya sheria kwa hiyo sasa kila... Kwa upande wa ambao wanalilalamikia jina... wanaosema wamepotezea jina nao wana... wana mashtaka yao, lakini na mimi pia nina mashtaka yangu...
Mbezi Stendi ya Malamba, Darajani, jengo la Abiria Stendi ya Magufuli na Gereji yake kunanuka mikojo
Nimepita Mbezi Luis maarufu kwa jina la Mbezi Mwisho, nikitokea Kinyerezi, nimeshuka Stendi ya chini maarufu kama Stendi ya Maramba nikapandisha ngazi kuelekea Stendi ya Daladala, maeneo mengi...
Mlinzi wa Kituo cha Mafuta cha Puma kilichopo Kata ya Kihonda Maghorofani, Manispaa ya Morogoro, anadaiwa kumpiga risasi mwananchi aliyekuwa ameegesha gari katika eneo la kituo hicho.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, mwananchi huyo alikuwa ameegesha gari katika eneo la kituo hicho kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.