MI NAZANIA MTOA POST UNAITAJI MSAADA, HUJAELEWA ALICHO KIONGEA,KATIKA VITA YA KAWAIDA ADUI UNAMUONA NA HAWEZI BAKI SALAMA UTAPAMBANA NAE KWAKUA UNAMUONA MOJA KW MOJA, ILA VITA YA UCHUMI ADUI HUMUONI NI VITA NGUMU INAYOHITAJI USHIRIKIANO,HAJA MAANISHA ULICHO ANDIKA UNAPOTOSHA JAMII SI VIZURI...
Ni wajibu wa kila mtanzania kuilinda na kuiheshimu nchi yetu(kiusalama na kiuchumi),hakuna mtu kutoka nje atakayeweza kuilinda nchi yetu. Tufuate sheria na taratibu zilizowekwa,kama hujui jambo lolote uliza kwa wakubwa na viongozi wetu.Tusipotoshwe na watu wachache wenye masilahi binafsi...
MATUMIZI BORA YA MTANDAO KIMAENDELEO YA TAIFA LETU,ULINZA WA MAWASIRIANO YETU PAMOJA NA DATA ZETU NI MUHIMU KWA NCHI YETU. Personal Data Protection Act ITATUSAIDIA WATANZANIA
hakuna aja ya kuedit 7 times,kua makini na unachotaka kupost...hukatazwi kusalimiana,kupeana taarifa,kutumiana picha BUT sio kupost porns,au chatting to harm someone au uharifu wowote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.