Habari ndugu, vipi ulipata suluhisho la tatizo lako? Maana naona km tatizo hili linafanana Kwa karibu na la kwangu. Nami nimepoteza uwezo wa kuandika kabisa. Yani vidole haviwezi kushika Kalam na kutengeneza herufi. Nimekwisha kwenda hospitali km bugando na Benjamin but sijapata nafuu
vita ya kisiasa ni vita chafu sana. wakati mwingine inaweza kusababisha ukweli ukazikwa na uongo ukashamiri. gwajima na bashite ni ndugu wanaotafuta political legacy. wote wana nia ya kuwania ubunge kule kwao misungwi.
sasa ktk hali kama hii gwajima dhahiri anaweza kubwa katafuna kondoo wake...
unasema sio utapeli mkubwa bali ni utapeli mdogo na unaanza kuutetea, ina maana umepanga kuhalalisha utapeli mdogo kutokana na madhara yake kuwa madogo? nijuavyo mimi hakuna living wala non-living, wote kusudio lao ni kutumia uelewa wa chini wa watu ili kuwaibia.
Kaka yangu Zitto aliwahi kushauri kuwa nchi imevimba hivyo waziri mkuu anapaswa kujiuzuru ili kutoa fursa kwa nchi kupumua. watu ambao ni washabiki wa siasa zisizo za kistaarabu hawakumuelewa labda kwa sababu ya upeo na mtazamo. wale waliomuelewa walijua wazi kuwa kushindwa kwa rais katika...
Tumeshuhudia vyama pinzani vikifanya kazi kubwa ya kutoa elimu ya uraia na ya kimapinduzi kwa wananchi kwa nguvu kubwa sana. Sitaki kuhoji juu ya sera za vyama hivi na mipango mkakati ambayo ni mbadala pindi vitakapochukua nchi, mfano kilimo kina changamoto zipi na chama kikishika hatamu...
Nilipata kuandika meseji katika moja ya magazeti hapa nchini nikihoji kama kweli serikali ina dhamira ya dhati kuendesha uchaguzi utakaoshirikisha umma wote wa wapiga kura mwaka 2015. Naomba nirejee kauli yangu kuwa uchaguzi huu hauna mantiki kwa sababu zoezi zima limegubikwa na ubabaishaji...
nikupongeze sana poti kwa malengo mazuri ambayo chama kimeyaweka. lakini nitahadharishe kuwa subordinates wanaweza kuwa kikwazo. mfano katika ngazi za chini kuna viongozi si kwa sababu ya sifa zao bali kwa kuwa walikuwa wa kwanza kuwa wanachama. hatima yake wako tayari hata kupindisha taratibu...
Ninapata tabu sana ninapofuatilia mijadala inayoendelea juu ya zitto. Hii ina maana bado ana nguvu hata kwa wale wanaomtusi. Kama mtu hakuhusu hana nafasi katika mtazamo wako vipi uendelee kumfuatilia.hebu tuachane na mijadala ya watu na tuangalie taifa linataka nini kwa sasa kama kweli ktuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.