Umeongea uhalisia mtupu,
1. Mfugaji anaetaka maendeleo kutokana na ufugaji wa kuku hawezi kumuacha kuku alee vifaranga kwa miezi 3 inabidi ajifunze kulea vifaranga kwa njia mbadala
2. Ni kweli kuku ukimnyang'anya vifaranga baada ya wiki 2 anataga upya
3. Si lazima kuku akitaga atamie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.