Recent content by Mausa Jovin

  1. Mausa Jovin

    Kaeni mbali na vibinti vyenye umri wa miaka 2-14; Kama Hautaki Kubaka

    Mimi ni hakunaga story,.... yaani ni mimi ni MARHABA, imeisha hiyo kwangu hakuna cha haujambo, wala nini, kama nimekaa na naona ananibugudhi kwa chochote utasikia "KAUSHA BASI DOGO"kwa sauti mpaka mama mtu asikie
  2. Mausa Jovin

    Ummy: Madaktari Bingwa kufanya kazi ya Kliniki binafsi katika Hospitali za umma baada ya saa za kazi sio jipya

    Kwahiyo ni Hapana kupumzika kwa hao wataalamu...... Sasa muda wa kufanya kazi za mshahara wa mwisho wa mwezi watakua wana sinzia mwanzo mwisho.....
  3. Mausa Jovin

    Taasisi za mikopo zinawaona watumishi wa Umma sio waelewa! Serikali iingilie kati tunakufa

    Unang'ang'ana na hela za benki eee kila saa benki, benk. siutafute zakwako? hizo bank ni kazi za watu, na kila siku wanaumiza vichwa vyao ninamna gani,au wamlipe nani, atunge sheria itakayo wapa mamlaka ya kukunyang'anya hiyo kazi yako na kiinua mgongo chako chote,. Ili utie akili
  4. Mausa Jovin

    Siwezi kula utumbo wa ng'ombe hata uniwekee bastola kichwani

    Sasa kama unahisia na mambo ya kinyesi,huwezi kupata msaada
  5. Mausa Jovin

    Kumbe mimi sio shoga? Ilikuwa kidogo tu nitumbukie huko

    Usisahau na nyeto, piga japo siku moja moja
  6. Mausa Jovin

    Naomba Ushauri: Nimepata Kesi baada ya kumpiga mvuta sigara

    Kijiweni Siyo level yako mkuu, next time utakuja kumwagiwa kahawa ya moto,. Sasa jichanganye ,mahakamani ukamwambie hakimu eti " tulikuwa tumekaa kijiweni mzee akawasha sigara nikampigia"
  7. Mausa Jovin

    Juisi za miwa Kariakoo wanaongeza sukari

    Umewekewa sukari kwa upendo mkubwa bado unalalamika! Ulitaka wakuwekee magadi siyo!
  8. Mausa Jovin

    Kibongobongo kumiliki milioni 100 kabla ya miaka 30

    Tupe kwanza chanzo cha hizo fedha! Nivigumu kumshauri bila kujua hizo hela kazipataje!
  9. Mausa Jovin

    Lilikuwa tukio la ajabu.

    Sema ukweli kwamba kila mtu alitafuta njia yake
  10. Mausa Jovin

    Putin anahutubia Taifa muda huu kuhusu uasi ndani ya jeshi na kundi la Wagner

    Wanasema hilo kundi linamatawi mpaka huko sudani migodini..
Back
Top Bottom