Asante sana mkuu mashilatu nahis hapo panaweza kuwa na mkono wa mtu haiwezekani watu wafanye utapeli wa aina huyo zaidi ya mwaka bila vyombo vya dola kushtuka!tena kuna kuna baadhi ya watu wamepoteza ajira zao za mwanzo wakiamini wamepata ajira yenye maslah mazuri, jamani tumuogope hata Mungu bas
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.