Tunaamini Mungu ni mtakatifu... Viongozi ni sura ya Mungu, wachungaji na maaskofu ni sura ya Mungu... Yaaani mema... Hivi kwa tukio lile tunamsubiri Mungu....? Sisi tuliochunga mbuzi..... Ukienda kuiba miwa unaporudi hiwakuti mbuzi, wanatawanyika kuiba pia... So far whether ni kweli au si kweli...
Muarobaini wa ajali sio gari, sio drivers... Jiulize gari linatengenezwa na engineer lina balance na speed 200....ametengeneza kwa matakwa hayo... TATIZO NI MIUNDO MBINU... BARA BARA YA MKOLONI GARI LA KISASA.... HAITATUVUSHA JIBU NI UPANUZI WA NJIA...
PIA DRIVERS UZEMBE UNACHANGIA KWA MFUMO...
Kwa uchunguzi mdogo niliofuatilia naanza kuona watumishi wa umma wakifanya kazi chini ya kiwango kutokana na haya yafuatayo..
1:watumishi wengi wamekata tamaa kufanya kazi kutokana na kutokua na uhakika wa kuwepo kazini(kutumbuliwa anytime)
2:nyongeza ya mshahara ya kila mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.