Kweli wewe ni vichekesho, nadhani kwenye akili yako na maisha yako na rika lako hukuwahi kuwajua walimu wazuri Tanzania, unayemjua ni Mkandawile tu ndiyo maana unamuombea tuzo! Haya nenda Mwanza utamkuta akivua samaki !
Alikuwa Mwl mzuri sana wa Advanced Mathematics, alikujachukuliwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na kuwa Mkurugenzi msaidizi wa ukaguzi wa shule nchini. Inawezekana pengine ni wewe ulitofautiana naye kitu au jambo fulani, but was among the best teachers of mathematics in the country! Pole sana...
Mwalimu Merchant Tambaza High School miaka ya 1994-1998 alikuwa ni mwalimu hatari sana wa Advanced Mathematics. Baadaye walimchukua watu wa makao makuu wizara ya elimu, idara ya ukaguzi wa shule.
Wewe kama unataka kuacha ualimu ni vizuri uache, sasa hapa unampigia kelele nani? Ulivyoandika humu ni pumba na ujinga mtupu! Kama hutaki kazi ya ualimu ondoka haraka sana kwani nani alikuingiza kwenye kazi hiyo!
Kana alikuwa anasema ' it depend' badala ya ' it depends' basi huyo alikuwa anaongea english ya kijijini kwako wala si ya Marekani! Utamsifiaje kwa english chafu namna hii?
Special ability schools zipo pia Kibaha, Msalato, tabora boys and girls, siyo hiyo mikoa mitatu tu uliyotaja, ingawa labda nikuulize swali! What is so zpecial in these special schools in our country since their inception? Hao wanaomaliza huko kwenye hizo special schools wapo wapi kwenye system...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.