Recent content by Maujohnsimba

  1. Maujohnsimba

    JamiiForums Tanzania Unahitaji ushauri juu ya masuala ya ujenzi na gharama zake? Karibu tukuhudumie

    Mkuu namaanisha kwa mfuko mmoja wa cement naweka mchanga kiasi gani na chipping kiasi gani??
  2. Maujohnsimba

    JamiiForums Tanzania Unahitaji ushauri juu ya masuala ya ujenzi na gharama zake? Karibu tukuhudumie

    Habari mkuu!!Naomba kufahamishwa ratio nzuri ya kufetua pavement blocks..
  3. Maujohnsimba

    JamiiForums Tanzania Unahitaji ushauri juu ya masuala ya ujenzi na gharama zake? Karibu tukuhudumie

    Habari mkuu naomba kuuliza..je ni sahihi kujaza mchanga wa mtoni kwenye msingi kama kifusi baada ujenzi wa msingi kukamilika…???eneo ulipojengwa msingi ni udongo wa mfinyanzi..?
  4. Maujohnsimba

    JamiiForums Tanzania Unahitaji ushauri juu ya masuala ya ujenzi na gharama zake? Karibu tukuhudumie

    Mkuu ulinipa majibu mazuri nilipouliza kuhusu ujenzi wa msingi kwenye ardhi ya mfinyanzi kwa kutumia mawe na tofali pia… Swali langu la leo ni je naweza kujengea mawe paka kwenye levo ya ardhi alafu nikaendelea na tofali za kulaza kuanzia hapo usawa wa ardhi na kufunga mkanda juu???
  5. Maujohnsimba

    JamiiForums Tanzania Unahitaji ushauri juu ya masuala ya ujenzi na gharama zake? Karibu tukuhudumie

    Asante kwa maelezo mazuri fundi mahiri wa ujenzi..hakika nimepata somo maana niliambiwa huwezi kujenga msingi wa mawe kwenye udongo wa mfinyanzi
  6. Maujohnsimba

    JamiiForums Tanzania Unahitaji ushauri juu ya masuala ya ujenzi na gharama zake? Karibu tukuhudumie

    Fundi mahiri wa ujenzi Habari mkuu naomba kujua namna ya kujenga msingi wa mawe na wa tofali kwenye eneo lenye udongo wa mfinyanzi..eneo ni tambarare
  7. Maujohnsimba

    JamiiForums Tanzania Ramani, Makadirio, Elimu na Ushauri kuhusu Ujenzi

    Hapa naomba ufafanuzi mkuu
  8. Maujohnsimba

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi kuhusu lenta kwenye ujenzi wa nyumba

    Em tuma picha tuone kama ulichouliza vinaendana af wataalam watakujibu na mimi nijifunze
  9. Maujohnsimba

    JamiiForums Tanzania Ramani, Makadirio, Elimu na Ushauri kuhusu Ujenzi

    Inachukua muda gani kumchorea mteja ramani yake...na wamkoani anapataje ramani yake iliyokamilika...na malipo yako unalipwaje..je ni baada ya kazi kukamilika au nusu kwa nusu..??
  10. Maujohnsimba

    JamiiForums Tanzania CHADEMA mnavyokumbatia watu wanaotukana mtandaoni inawafanya muonekane chama cha kihuni

    Weka picha tuone kama ulichoelezea ni sahihi
  11. Maujohnsimba

    JamiiForums Tanzania Ramani, Makadirio, Elimu na Ushauri kuhusu Ujenzi

    Nikupongeze mkuu kwa elimu unayoitoa..swali langu kwako ni moja tuu.. Ni kwa namna gani unaweza kujenga msingi wa mawe kwenye ardhi ya udongo wa mfinyanzi..??
  12. Maujohnsimba

    JamiiForums Tanzania Kwanini ng’ombe wasipigwe nusu kaputi kabla ya kuchinjwa?

    Wanakuja bro subiri
  13. Maujohnsimba

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu bado unapambana na ile staili yako..??
  14. Maujohnsimba

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kilimo cha matikiti.. Motivesheni spika
  15. Maujohnsimba

    JamiiForums Tanzania Urinary Tract Infection (UTI): Chanzo, Dalili na Kinga/Tiba yake

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom