Recent content by Matulo

  1. M

    JamiiForums Tanzania Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

    Mwenye hiki kitabu please, Paula Paul. Natanguliza shulrani
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ally Happi unakumbuka maneno yako haya kuhusu wazee wastaafu?

    Makonda alipomtukana Lowasa. Akawa, DC na hatimaye RC, ilikuwa chachu kwa vijana wa CCM walioanza mashindano ya kutukana wakubwa. Hakika kila lenye mwanzo lina mwisho
  3. M

    JamiiForums Tanzania Serikali inastahili pongezi kukarabati reli ya Tanga na Arusha, lakini tunawakumbusha huduma hii haikufa kwa sababu ya tatizo la reli, tusibweteke

    Asante Synthesiser kwa kuleta hii hoja. Binafsi nimesikitishwa sana na jinsi Watanzania walivyoacha kufanya shughuli za ujenzi wa taifa na kwenda kushangaa ujio wa treni. Hali hiyo ilinikumbusha kisa cha kitambo kidogo. Kwa wale wakazi wa eneo la Mombo, njia ya kuelekea Moshi watanielewa...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Zumarid anaonewa, wakamatwe na kina Mwamposa

    Unamjua Zumaridi vizuri wewe unayetoa huu ushuhuda. Usifanye kitu kinaitwa 'one size fits all'
  5. M

    JamiiForums Tanzania Baba na mwana ...! Kweli wakati si milele

    Thread za Mshana Jr. ni fikirishi sana, (Hakika, you are a 'Great Thinker')
  6. M

    JamiiForums Tanzania Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

    Pascal unajidhalilisha sana. Kwa nini serikali ikikatae wachunguzi wa nje.hapo si tungejua ukweli
  7. M

    JamiiForums Tanzania Broken mixer za FACEBOOK, tupia yako

    Wasure; kila zama na kitabu chake
  8. M

    JamiiForums Tanzania Shetani kazini: Jinsi tunavyoshiriki ibada za damu na nyama bila kujua

    Hii article ya Mshana Jr in eye opener! Wanao sikia na wasikie Juu ukweli mchungu sana! Hakika shetani yupo kazini
  9. M

    JamiiForums Tanzania Dar: Kitengo cha wajawazito Hindu Mandal Hospital matatizo

    Private vs Public sector. A Fadhili huduma za Muhimbili
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mama Salma Kikwete ulifikiria mara mbili kabla ya kutamka ulichokitamka siku ya Mtoto wa Kike?

    Huyu mama ana washwa washwa
  11. M

    JamiiForums Tanzania Lazaro Nyalandu: Tanzania inahitaji Katiba mpya ili mihimili ya utawala iwe na mipaka iliyo wazi

    Ndugu Mudawote; Katiba inayokubalika ndo itayoweza kuweka usimamizi sustainable wa rasilimali zetu. Hebu tafakari vizuri juu ya maana ya Katiba.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Waziri Mahiga: Tanzania yasifiwa UN kwa mageuzi ya Rais Magufuli

    still loading...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kweli naamini rais anachuki na watu na taasisi, hili kwa mabenki kakosea, hana data

    Check ownership ya TIB, 100% Government owned; nadhani mkazo uwepo kwenye compliance ya hizi benki; so that yanatoa huduma kwa uadilifu kwa maendeleo ya wananchi wote.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Matamko ya viongozi hayasaidii kutatua tatizo la madawa ya kulevya

    "Hebu niwaulize, hii ni mara ya kwanza majina kutajwa, tukianzia list of shame, si viongozi waliharibiwa heshima yao, mbona hatukuona vyombo vya habari kuwatetea watu hao" Ni hivi, hakuna anayepinga vita dhidi ya dawa za kulevya Mzee wetu Warioba, tatizo ni appoach ya kutatua janga hilo...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli amteua Bw. Dotto M. James kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango

    Hongera sana Bw Dotto; kwa heri Dr Likwelile....atapangiwa kazi nyingine!!!!
Back
Top Bottom