Recent content by Matukutuku

  1. M

    Mti wa parachichi

    Wadau naomba kujua kwa utaalam wenu mti wa parachichi wa kiasili unachukua muda gani mpaka kuja kuzaa matunda.
  2. M

    Mitaa gani Kariakoo wanauza baiskeli hasa za watoto?

    Bado mkuuu nitaenda over thw weekend
  3. M

    Mitaa gani Kariakoo wanauza baiskeli hasa za watoto?

    Wadau salama. Naomba kujua ni mtaa gani Kariakoo wanakouza baiskeli hasa hasa za watoto. Au kama sio Kariakoo, sehemu nyingine ambapo zinapatikana kirahisi. Asanteni
  4. M

    Kuna dawa yoyote ya kuondoa sisimizi ndani?

    Asante kwa ushaurii [emoji120][emoji120][emoji120]
  5. M

    Kuna dawa yoyote ya kuondoa sisimizi ndani?

    Mbona nasikia ni sumu? Mi nahitaji ambayo haina sumu
  6. M

    Kuna dawa yoyote ya kuondoa sisimizi ndani?

    Assnte mkuu nashukuru sana
  7. M

    Kuna dawa yoyote ya kuondoa sisimizi ndani?

    Jaman wanajamvi hii changamoto ya sisimizi ndani mnaifanyajr fanyeje. Kuna dawa yeyote ya kuondoa sisimizi ambayo sio sumu manake naogopa watoto wadogo waliopo ndani kwangu. Msaada plz
  8. M

    Napata wapi Viti vya Plastiki jijini Dar?

    Wadau kwema humu? Naomba kujua sehem wanakouza hivi viti vya Plastiki kwa jumla kwa Dar es Salaam apa. Pia nilisikia kwamba SIDO nako wanatengeneza ila sina uhakika naomba pia kujulishwa kwa hilo. Nawasilisha
  9. M

    Kulikoni Ramadhani Kabwili (Football player)

    Nitumie na mm aisee sijacanikiwa kuionaa
  10. M

    Mabasi mazuri kwenda Mwanza

    Kwa nini aisee??
  11. M

    Mabasi mazuri kwenda Mwanza

    Wadau salama huku. Naomba kujuzwa mabasi mazuri ya kwenda Mwanza kutokea Dar es Salaam na nauli zao. Natanguliza shukrani
Back
Top Bottom