Wadau salama. Naomba kujua ni mtaa gani Kariakoo wanakouza baiskeli hasa hasa za watoto.
Au kama sio Kariakoo, sehemu nyingine ambapo zinapatikana kirahisi.
Asanteni
Jaman wanajamvi hii changamoto ya sisimizi ndani mnaifanyajr fanyeje.
Kuna dawa yeyote ya kuondoa sisimizi ambayo sio sumu manake naogopa watoto wadogo waliopo ndani kwangu.
Msaada plz
Wadau kwema humu?
Naomba kujua sehem wanakouza hivi viti vya Plastiki kwa jumla kwa Dar es Salaam apa.
Pia nilisikia kwamba SIDO nako wanatengeneza ila sina uhakika naomba pia kujulishwa kwa hilo.
Nawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.