Mi ni mtoto wa maskini nimekulia kwenye shida nimefanya private candidate form six na kupata div 3 point 14 nataka kujiunga chuo mwakani lkn sina uwezo naomba msaada au info inayoweza kuniwezesha kupata msaada.
Hata mimi kabla sijaoa nilikuwa nikisumbuliwa na tatizo hilo, lakini baada ya kuoa hilo tatizo liliisha automatically. Nilimwambia hata mke wangu. Kumbe chanzo ni hicho.
Tulipishana na mke wangu siku moja tukagombezana mimi nikajua yameisha lkn baadae nikakuta ameyaandika yale mambo yote niliyokuwa nikiyatamka na kuyatunza ndani ya sanduku lake pia kaongeza hata mambo ambayo sikuyasema. Huyu mke wangu nimempeleka chuo. Baada ya kumpigia simu kumuuliza ni nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.