Recent content by mats_

  1. mats_

    Sekretarieti ya Ajira acheni kuwawekea waomba ajira vigingi visivyo na sababu za msingi.

    nina kama interview 3 hivi niliomba kwa wakati mmoja na hawakuniita sababu ya kutokugonga muhuri wa mwanasheria birth certificate, japo nilifanikiwa kugonga muhuri na ku upload upya katikati ya kipindi cha matangazo kutolewa na kipindi bado hawajaita interview. Ila ikaja NOT SHORTLISTED, huu ni...
  2. mats_

    Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    Redmi Note 10 Pro (Global Version) Used - Like New Simu ni Clean sana, haina dents zozote. 128 GB ROM 8 GB RAM 108MP Camera 5000mAH Battery Boss nmenunua iphone 12, sasa hii naipush Nipe 550k nakupa box lake na accessories zote.
  3. mats_

    Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Mtaalamu, baada ya kufanikiwa ku submit, huu ujumbe kwenye email wamekutumia ndani ya muda gani, maana nimeomba ila kila nikiangalia email hamna jipya
  4. mats_

    Utumishi, Utumishi, Utumishi! Sekretariat ya Ajira Utumishi nimewaita mara tatu

    Mkuu, kamwe kwenye hii life usikae kizembe. Uhitaji upo kwa kila mtu, regardless of circumstances.. ao wenye kazi kila siku wana fight wapate kazi zenye ujira mzuri zaidi ili watimize ndoto
  5. mats_

    Utumishi, Utumishi, Utumishi! Sekretariat ya Ajira Utumishi nimewaita mara tatu

    hii kazi hakuna sehemu walisema kama una contract popote uwezi omba.. hivi unafkiri kwanini watu wanataka serikalini, af kitu kingine ukijichanganya tu ukawa umesahau ku change employment details baada ya contract yoyote ujue kuna mahali utaliwa panga.. Na nasisitiza, pdf wala details hazikueka...
  6. mats_

    Utumishi, Utumishi, Utumishi! Sekretariat ya Ajira Utumishi nimewaita mara tatu

    Habari za wakati wakuu, Mimi nina jambo dogo kwa upande mmoja ila kwa upande mwingine ni kubwa na linaathiri sana mtazamo wangu na wa vijana wengi sana wasaka ajira za serikali kupitia Sekretariat ya utumishi kupitia ajira portal. Wao wanaweza ona ni jambo la kuselect option fields (zile select...
  7. mats_

    Tetesi: Dunia inasubiri Taarifa moja tu ya kutisha kutoka Russian federation

    Western Media Zinakupoteza, Naona data zako unatoa The Kyiev Independent ! Unategemea wakwambie nini kingine zaidi ya hizo propaganda za upande mmoja ? Kama Ukraine anachezea na jeshi lake lina retreat, unaweza vipi ku confirm hzo data ilihali miji mingi anazidi kuikalia Urusi, ao wakusanya...
  8. mats_

    Ajira Portal inahitaji mabadiliko, inakatisha ndoto za vijana wengi kwenye kuomba ajira

    Nakushauri ujaribu kufatilia vizuri taarifa zako za NIDA, aisee wale walokua wanaingiza details wengi wao walikua wanakosea sana details za watu.. Jaribu kutafuta taarifa zako zilizopo NIDA ufanye comparison kama hazina dents, unaeza fika ofisi ya NIDA wakakuchekia
  9. mats_

    Msaada: Updates kwa aliyefanya aptitude test ya Deloitte

    aptitude ndio kabla ya oral, position ni hyo kwenye topic
  10. mats_

    Msaada: Updates kwa aliyefanya aptitude test ya Deloitte

    ulifanya aptitude kabla ya hiyo Oral mkuu ? kama ndio bas nijuze ilikua position ipi ?
  11. mats_

    Msaada: Updates kwa aliyefanya aptitude test ya Deloitte

    Sema sasa kuna mwanangu mmoja hivi juzi kati alinisanua kua aliomba ile post, ila hakutumiwa mrejesho wa kufanya aptitude test, hicho ndo kinanipa wasiwas sasahvi huenda wanaeza wakawa wameshaendelea na stage zinazofata bila kuwataarifu watu wengine ama pia inaezekana ikawa bado. Kama kungekua...
  12. mats_

    Msaada: Updates kwa aliyefanya aptitude test ya Deloitte

    Habari Wakuu, Karibia mwisho wa mwaka jana Deloitte walitoa nafasi mbali mbali kada ya ICT, Position ilikua ni Zonal IT Associate. Baada ya kufanya maombi watu wakatumiwa response ya kufanya Aptitude test, tena ilikua online na kulikua na test tatu (Universal Cognitive Aptitude test, Employment...
  13. mats_

    Usaili TRC kufanyika Dodoma tarehe 5 Februari 2022

    awa jama wameni suprize pia, apo ina maana adi zile za tra ambazo bado hawajatoa majina nazo zitakua na matokeo haya haya, anyway, Ya Mungu Mengi
  14. mats_

    Sitaomba kazi tena, wacha niwe jeuri tu!!

    [emoji23] ehee, mkuu umetokaje tokaje, maana ule muandiko uliucharanga kwa hasira sana
Back
Top Bottom