mats_
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 398
- 296
Habari za wakati wakuu,
Mimi nina jambo dogo kwa upande mmoja ila kwa upande mwingine ni kubwa na linaathiri sana mtazamo wangu na wa vijana wengi sana wasaka ajira za serikali kupitia Sekretariat ya utumishi kupitia ajira portal. Wao wanaweza ona ni jambo la kuselect option fields (zile select buttons / option buttons) na kujaza wanachokiona ni cha kawaida lakini kwa sisi tunaosaka hizi ajira ni jambo linalotukata stim sana.
Kuna post kadhaa zilitoka kipindi fulani hapa kati (Ministry of Lands). Yani mtu unakataliwa kuitwa interview kwa petty issues, na huenda hata hazikuepo kwenye tangazo la ajira, na hata kama zilikuepo kuna ambao hua tunaingia ajira portal tukikuta nafasi zinazoendana na taaluma zetu basi tunasoma details pale then tunasuka barua tuna attach tunatuma, huenda zile details zinazowekwa pale zikawa hazijatimiza matakwa ya details zilizowekwa kwenye tangazo la pdf (maybe), sasa unaweza soma details ukaona kabisa hii naweza itwa ila ukaomba na ukakataliwa (Not Shortlisted).
Sasa tufanye hivi, Nyie Sekretariat ya Ajira kupitia Ajira Portal tunawataka mnapoweka post za ajira, kwenye site pale pale kwenye ku view details za hiyo post, basi mu attach na pdf file ya hilo tangazo la ajira husika ili iwe rahisi kusoma vigezo vyote, na kama vigezo havitakuepo vingine tujue kabisa kama hua tunakua eliminated kwa vigezo ambavyo mnaamua tu kuvitunga baada ya watu kuomba ilimradi tu muweze kupunguza watu mapema wasije kwenye interview.
Kiukweli Mnatukata Stim Sana, Mnaua matumaini ya vijana wengi sana, Huku Mtaani sio kama uko mlipo kwenye viyoyozi na per diem mnazokula huku mme relax mnakuna matumbo.
Mimi nina jambo dogo kwa upande mmoja ila kwa upande mwingine ni kubwa na linaathiri sana mtazamo wangu na wa vijana wengi sana wasaka ajira za serikali kupitia Sekretariat ya utumishi kupitia ajira portal. Wao wanaweza ona ni jambo la kuselect option fields (zile select buttons / option buttons) na kujaza wanachokiona ni cha kawaida lakini kwa sisi tunaosaka hizi ajira ni jambo linalotukata stim sana.
Kuna post kadhaa zilitoka kipindi fulani hapa kati (Ministry of Lands). Yani mtu unakataliwa kuitwa interview kwa petty issues, na huenda hata hazikuepo kwenye tangazo la ajira, na hata kama zilikuepo kuna ambao hua tunaingia ajira portal tukikuta nafasi zinazoendana na taaluma zetu basi tunasoma details pale then tunasuka barua tuna attach tunatuma, huenda zile details zinazowekwa pale zikawa hazijatimiza matakwa ya details zilizowekwa kwenye tangazo la pdf (maybe), sasa unaweza soma details ukaona kabisa hii naweza itwa ila ukaomba na ukakataliwa (Not Shortlisted).
Sasa tufanye hivi, Nyie Sekretariat ya Ajira kupitia Ajira Portal tunawataka mnapoweka post za ajira, kwenye site pale pale kwenye ku view details za hiyo post, basi mu attach na pdf file ya hilo tangazo la ajira husika ili iwe rahisi kusoma vigezo vyote, na kama vigezo havitakuepo vingine tujue kabisa kama hua tunakua eliminated kwa vigezo ambavyo mnaamua tu kuvitunga baada ya watu kuomba ilimradi tu muweze kupunguza watu mapema wasije kwenye interview.
Kiukweli Mnatukata Stim Sana, Mnaua matumaini ya vijana wengi sana, Huku Mtaani sio kama uko mlipo kwenye viyoyozi na per diem mnazokula huku mme relax mnakuna matumbo.