Recent content by matoro

  1. M

    Wasomi mmemsikia Edward Lowassa?

    Elimu bure sio kitu kigeni.tanzania ya mwalimu iliweza na ikajenga viwanda vingi.tanzania baada ya mwalimu ikaua elimu na kuuza kila kitu.kibaya zaidi ikaaminisha watu serikali haiwezi kusomesha watoto wa maskini kwa shinikizo la wazungu ili wakishirikiana na wazungu watuibie vizuri.kama huamini...
  2. M

    CCM ikishindwa uchaguzi nani alaumiwe?

    ccm inaanguka kwasababu jk na serikali yake ilikuwa likizo na kujirusha kwa miaka kumi.deni la taifa limetoka 7trilion to 30 trilion lakini maisha bora hayaonekani.hela zote zimeliwa na wajanja.
  3. M

    NCCR - Mageuzi Waongea na vyombo vya habari, Wamjibu M/Mwenyekti na K/Mkuu wake

    Tunahangaika wakati kuna uwezekano wameshafika bei?
  4. M

    Mwanasheria wa CHADEMA, Mabere Marando alazwa hospitali ya Muhimbili

    Hakuna kitu kinakatisha watu wengi tamaa kama kuibiwa kura.hili ni tatizo jamani sioni kama hatua mathubuti zinachukuliwa
  5. M

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Dr kumbe uwezo wake mdogo sana.ameshindwa kuelewa hili; THERE IS NO ANYTHING WHICH IS POWEFUL THAN A THING WHOSE TIME HAS COME. Haya mabadiliko anaeweza kuyazuia no mumgu tu.
  6. M

    Sakata la Richmond: Dr. Mwakyembe amkaanga Lowassa, Kumburuza Mahakamani...

    Nataka kuwauliza wanajamvi masha kawaambia police wapumbavu kafunguliwa jinai.mkapa kawatukana watanzania yeye kwake sio jinai huu sio unaguzi?
  7. M

    CHADEMA hali mbaya Kiteto, ofisi za Chama hicho ikiwemo ya Wilaya yafungwa zaidi ya miezi sita sasa

    Chadema wanaingia kama ukawa ili kuziba mapengo kama hayo.kama chadema wamepwaya utakuta cuf wako viziri.lengo ninkushika dola hakuna muda wa kichezea tena.mchakamchaka tu.
  8. M

    Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

    Mbaya wako akikupa zawadi huta sema asante?sio mtaji mdogo kupewa jimbo zima la monduli.alichofanya mbowe ni kutoa asante kwa lowasa.kiuhalisia sio kumkarisha na kuwapa matumaini waliohamia chadema
  9. M

    Humprey Polepole kwenye mada moto ya Channel Ten

    Population report indicates more than 60% 0f population are youth below 35 years of age.these are dynamic and form potential voting group which strategically amnd politically need relevant or corresponding presidential candidate.I might agree with Tundu being relavant to this group.
  10. M

    GE2015 Dr. John Pombe Magufuli achaguliwa kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM 2015

    Tutazame uwezo na stategic political attaiment to the country sio imani jamani tunarudi nyuma sana
Back
Top Bottom