Kama lowasa ni gamba /alikuwa gamba, humo ccm magamba yameisha? Je matatizo yote na umaskini wa nchi hii na raia wake vimesababishwa na lowasa? Nikuonavyo wewe si mzima kichwani.
Labda wewe hujapita kule ambako mimi nimepita. Huku kwangu wote kumi wanasema wanawafariji tu UKAWA maana hamtaki kusikia mnasemwa vibaya hivyo wanawaogopa. Ili kuepusha shari wanawambia maneno ya Faraja tu ili kuvuta siku zifike wawapige chini kistaarabu
Huo umasikini na matatizo vimesababishwa na watanzania wenyeweeeeee, na kwa mkumbo huu wa kumbabaikia Lowassa hakika watakuwa masikini milele, ila wakijitambua na kumchagua Magufuli basi hakika tutaondokana na hizo kadhia zooote.
Hata wewe pia si mzima.
Subiri octoba 25 ndio utajua nani mzima na nani sio mzima.
Hata kama ccm itashinda, itashinda kwasababu ya upumbavu wa watanzania kama wewe,kwasababu mijitu mingi kama wewe haijui kuhoji au kufikiri kile ambacho ccm inakisema. Kwa mfano mnasema lowasa fisadi, je ufisadi katika nchi hii ni Richmond peke yake? Je kutoka kwa lowasa ccm, kumemaliza ufisadi ccm? Magufuli anasema ataleta mabadiliko,hili linawezekanaje ndani ya mfumo wa ccm? Anailaumu serikali yake mwenyewe kwakushindwa kuwahudumia wananchi, halafu anataka tuirudishe tena madarakani! Haingii akilini, ni wajinga tu kama wewe ndiyo wanaokubali upuuzi wa ccm, au labda kama na wewe ni mtoto wa viongozi wa ccm wezi wakubwa unatetea maslahi yako.