Kiongozi unaweza ukanipa au ukatoa maelezo ya kina kuhusu Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere huko Uganda anaitwa hivyo kivip? unaweza ukatoa maelezo ya kina kidogo?
sikubaliani na hata kidogo, yeyote ile aliye shuleni ni mwanafunzi, ikitokea mwanaume akaanza mahusiano na huyo mwanafunzi hapo ana baka, hivyo haijailishi awe form one au nform six, ni lazima tupige vita tabia hii.
kama ni kweli nakuomba utoe maelezo ya kutosha jinsi ilivyokuwa, na si vibaya kama utasema aina ya joka hilo na ukubwa wake kama vile size ya container, kama behewa la train nk. vinginevyo itakuwa ni hadithi tu.
Tafadhali angalia maada inasemaje, acha kukurupuka kama hujui kinachozungumzwa, mzee Diallo ameandika kitu sahihi kabisa, Diallo alianza kupanda ndege hata kabla ya kuwa waziri, sijui Zitto ameanza kupanda ndege baada ya kuwa mbunge?
Zitto wewe ila wakati ni kutoa lawama tu, hakuna siku moja ukamuunga mkono Rais au ukampongeza tu. Usimgombanishe na spika kwa mawazo yako ambayo si sahihi.
Tu
Tulia anaweza akagombea sehemu yoyote ile, iwe ni mbeya mjini, mbagala na anaweza akashinda kwa asilimia mia moja, hakuna asiye mfahamu Tulia hapa nchini.
kumbuka wewe si msemaji wa wananchi wa jimbo la mbeya, pia kumbuka hakuna mwenye umiliki wa majimbo hapa nchini, Tulia anaweza akagombea sehemu jimbo lolote lile atakaloona linamfaa, likiwemo la mbeya majini, na atashinda kwa kishindo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.