Recent content by Matongolo

  1. Matongolo

    JamiiForums Tanzania Polepole sio mtu mwema ni muhuni sana

    Mkianikwa maovu yenu mnaita watu wahuni
  2. Matongolo

    JamiiForums Tanzania Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

    Mmmh, kwahiyo shetani ni muislamu Mpaka kesho
  3. Matongolo

    JamiiForums Tanzania Nini hutoa baada ya mtu kuzikwa

    Jf ina kila Aina ya watafiti
  4. Matongolo

    JamiiForums Tanzania Anna Tibaijuka: Ndugai aliniambia kwamba suala la Lissu ni “Maelekezo”

    Jamaa naendelea kuwakong'oli tu mmoja baada ya mwingine, hajuii kua na yeye kazeeka naelekea huko huko, poleni nchi ya Amani na upendo
  5. Matongolo

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi Tabora girls ajifungua chooni, mpaka anapelekwa hospitali hakujulikana kuwa na ujauzito, alidaiwa kuumwa kichwa na mguu

    Unamaanisha shurle zijengwe angani?! Kazi ipo.. Unadhani selikalri itawafanyia kila kitu?
  6. Matongolo

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi Tabora girls ajifungua chooni, mpaka anapelekwa hospitali hakujulikana kuwa na ujauzito, alidaiwa kuumwa kichwa na mguu

    Usikurupukie kujibuu usichokielewa , Hakuna sehemu nimesema wanalipwa Zaidi
  7. Matongolo

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi Tabora girls ajifungua chooni, mpaka anapelekwa hospitali hakujulikana kuwa na ujauzito, alidaiwa kuumwa kichwa na mguu

    Tutabishana saana mkuu, lakini kama unaamini dini ntakwambia kitu na utaelewa, ishu ya maadili kwa vijana kwa Sasa inaonekana duniani kotee, imekaa kiroho zaidii, Hakuna siasa Safi wala miundo mbinu bora inaweza tatua swala hili.
  8. Matongolo

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi Tabora girls ajifungua chooni, mpaka anapelekwa hospitali hakujulikana kuwa na ujauzito, alidaiwa kuumwa kichwa na mguu

    Kwani mwalimu ndo kambebesha mwanafunzi hiyo mimba? Halafu kitu ambacho hujui mwalimu hata angelipwa million 10 ishu ya maadili inaanza na mtu mwenyewe, nenda shure za private wakusimulie yanayotokea huko. Hautakuja ku comment kimihemko tena
  9. Matongolo

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi Tabora girls ajifungua chooni, mpaka anapelekwa hospitali hakujulikana kuwa na ujauzito, alidaiwa kuumwa kichwa na mguu

    Inahusiana nini na ccm ?? Kwahiyo ccm siku hizi kinabebesha mimba wanafunzi?
  10. Matongolo

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Askofu Josephat Gwajima kesho ataongea anakuja na the great come back kupitia Yuotube

    Hawezii tumikia mabwana wawilii
Back
Top Bottom