Wakuu kwanza kabisa napenda niutangazie umma kuwa bila kulazimishwa wala kushawishiwa nimeamua kwa dhati kutowatetea single mothers kwenye lolote. Acha wapambane na hali zao. Hawa viumbe wana namna nyingi za kukuharibia utulivu. Kuwatetea ni kupoteza muda.
Mimi nilivuta single mama mmoja mwenye...
Mleta uzi umezunguka sana. Ungeenda moja kwa moja kwenye point kwa kumsimanga Dr Samia Suluhu. Lakini ndo Rais wako hadi 2030 na kuna tetesi ataongezewa muda.
Serikali kufanya yenyewe biashara ina faida kwenye makaratasi tu ila kiuhalisia hakuna inachopata ukilinganisha na kama ingebinafsisha kwa sekta binafsi. Ndo maana nashangaa sana wanaosema bandari imeuzwa wakati kuendesha stendi tu imetushinda.
Mkuu ndo kilichotokea kwa upande wangu. 2025 nimewafanyia watu kazi kama mtumwa. Mimi nilibaki tu na title kuwa namiliki biashara ila wanaofaidika ni walionikopesha.
Tayari nimeweka nia ya kutojihusisha na mikopo ya aina yoyote ile mwaka 2026. Iwe benki, viccoba au wowote ule nitakaa nao mbali. Yaani nimejiahidi kama nilivyojiahidi kutofanya mapenzi hadi nimalize form 6 na nikafanikiwa. Hii mikopo sio kabisa.
Kimsingi ukipiga hesabu ya marejesho ukajumlisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.