Recent content by Matongee

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Heche juu ya hotuba ya Nchimbi juu ya Katiba mpya

    Heche mzito mno kujenga hoja.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Nyie jamaa mnazingua sana 🤣🤣🤣
  3. M

    JamiiForums Tanzania Msaada sina kabisa nguvu za kiume

    Acha utapeli kenge wewe. Wewe jomba mwenye tatizo nenda hospitali.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Anayepajua Mkundi mwisho Morogoro atupe ramani naskia Kuna Machimbo ya Dhahabu.

    Mkanda, mkende, mkindi, mkondo, mkun.... 🤔
  5. M

    JamiiForums Tanzania Ninadhani hilo somo au module aliyokuwa anafundisha Kaijage ifutwe huko UDOM ili kuepusha taharuki baadae

    Ni suala la muda utaelewa tu
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ulinzi wa Rais Samia ni balaa. Aondoka uwanjani kimyakimya kwa mwendo wa kikomandoo bila kuzungumza neno lolote

    😄😄😄😄😄 ila wewe jomba upewe tuzo kuu ya unafiki.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Ninadhani hilo somo au module aliyokuwa anafundisha Kaijage ifutwe huko UDOM ili kuepusha taharuki baadae

    Kama kosa lake kubwa ni kufanya uchochezi kupitia hiyo module aliyokuwa anafundisha nadhani tutumie busara kuifutilia mbali ili kuepusha wahadhiri wengine kuingia mtegoni na kujikuta wanafanya "ugaidi" bila kujua. Hatuwezi kuwa na masomo yanayosababisha uchochezi vyuoni. Futilia mbali hizo...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anatelekeza chumba chake na kwenda chumba cha mtoto

    A Single Mama detected..
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anatelekeza chumba chake na kwenda chumba cha mtoto

    Asante sana mkuu. Nitafuata huu ushauri.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anatelekeza chumba chake na kwenda chumba cha mtoto

    Wewe taahira la CCM acha ungese
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anatelekeza chumba chake na kwenda chumba cha mtoto

    Wewe ni single mama?
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anatelekeza chumba chake na kwenda chumba cha mtoto

    Wakuu kwanza kabisa napenda niutangazie umma kuwa bila kulazimishwa wala kushawishiwa nimeamua kwa dhati kutowatetea single mothers kwenye lolote. Acha wapambane na hali zao. Hawa viumbe wana namna nyingi za kukuharibia utulivu. Kuwatetea ni kupoteza muda. Mimi nilivuta single mama mmoja mwenye...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Sifa za Marais wetu, Mwinyi RUKSA, Mkapa UWAZI NA UKWELI, Kikwete UFISADI, Magufuli MALIASILI, Samia UTEKAJI

    Mleta uzi umezunguka sana. Ungeenda moja kwa moja kwenye point kwa kumsimanga Dr Samia Suluhu. Lakini ndo Rais wako hadi 2030 na kuna tetesi ataongezewa muda.
  14. M

    JamiiForums Tanzania WIZI huu Nina uhakika wakurugenzi wa HALIMASHAURI wanausika kikubwa mno maana ni nchi nzima.

    Serikali kufanya yenyewe biashara ina faida kwenye makaratasi tu ila kiuhalisia hakuna inachopata ukilinganisha na kama ingebinafsisha kwa sekta binafsi. Ndo maana nashangaa sana wanaosema bandari imeuzwa wakati kuendesha stendi tu imetushinda.
Back
Top Bottom