Recent content by Matongee

  1. M

    Makonda aanza kukamata wakusanya madeni (auctioneers) wanaotumwa na mabenki

    Nakuunga mkono. DAWA YA DENI NI KULIPA.
  2. M

    Makonda aanza kukamata wakusanya madeni (auctioneers) wanaotumwa na mabenki

    CCM ndo ilienda kukopa huko SACCOSS?
  3. M

    Makonda aanza kukamata wakusanya madeni (auctioneers) wanaotumwa na mabenki

    Wewe mpumbavu ungekaa kimya. Sasa hapo Makonda kachukua tu maamuzi ya kisiasa ila mahakamani huyo aliyeuziwa nyumba hachomoki na anaweza ongezewa deni la kulipa gharama za kesi. Acheni kutaka huruma kwenye biashara za watu.
  4. M

    Makonda aanza kukamata wakusanya madeni (auctioneers) wanaotumwa na mabenki

    Wewe kenge kachukue mkopo jengea nyumba halafu ulete majibu. Mkopo ni wa kuendeleza biashara na sio vinginevyo. Pumbavu
  5. M

    Makonda aanza kukamata wakusanya madeni (auctioneers) wanaotumwa na mabenki

    Kama mtu umekopa milioni 3 huku ana nyumba ya 50m ikawaje akaanza kusumbua kurudisha mkopo? Tatizo wenye nyumba wengi Tanzania ni maskini... mtu hajajiimarisha kiuchumi anaenda kutumbukiza 50m kwenye nyumba. Matokeo yake ndo hizi aibu za kushindwa rejesho la 3m.
  6. M

    Prof. Safari: Kwenye usafiri wa umma, wazungu husoma vitabu na magazeti, watanzania wanatafuna mahindi ya kuchoma na mayai ya kuchemsha

    Profesa Safari anajua hiace za Moshi mjini - Machame? Pale mbele wanapotakiwa kukaa abiria na dereva huwa wanakaa abiria watatu na dereva. Hilo gazeti unasomaje? Au coaster za Arusha - Moshi ambapo lazima majibizano kati ya abiria na kondakfa kuhusu nauli yatokee huku dereva naye akiingilia...
  7. M

    Huyu Dogo naye rasmi kwa wajenzi huru!

    Freemason wa maji matitu hao. 🤣 Freemason hawana huo upuuzi wa kufanya mambo hadharani hivyo
  8. M

    Profesa Kabudi na Freeman Mbowe waongoza Mjadala wa Sheria za Uchaguzi, UDSM, Hakika 2025 imekaribia!

    Mbowe kama aliishia form six na sifuri amewezaje kusimama na kumwaga madini UDSM?
  9. M

    Tumegundua ushirikina/nguvu za giza unaofanywa na kijana kwenye biashara

    Mchawi sio wa kumvumilia hata kama anafanya kwa ajili yake. Urafiki na mtu wa hivyo ni sawa na kufuga chatu au Simba.
  10. M

    Mbunge Getere: Boom lifutwe, wanafunzi wanatumia kulewea

    Wewe mbona una tabia za kikahaba sana? Yaani unaandika upuuzi mtupu.
  11. M

    Mbunge Getere: Boom lifutwe, wanafunzi wanatumia kulewea

    Elimu yake ni ya kuunga unga sana. Mtu kazaliwa mwaka 1963 kaja kupata degree 2011.... utakadiria mwenyewe kahangaika miaka mingapi kuisaka hiyo degree.
  12. M

    Mbunge Getere: Boom lifutwe, wanafunzi wanatumia kulewea

    Wewe na huyo mbunge wote kwa pamoja ni wapumbavu. Unaunga mkono upuuzi
Back
Top Bottom