Recent content by Matongee

  1. M

    Mke wangu anatelekeza chumba chake na kwenda chumba cha mtoto

    Asante sana mkuu. Nitafuata huu ushauri.
  2. M

    Mke wangu anatelekeza chumba chake na kwenda chumba cha mtoto

    Wakuu kwanza kabisa napenda niutangazie umma kuwa bila kulazimishwa wala kushawishiwa nimeamua kwa dhati kutowatetea single mothers kwenye lolote. Acha wapambane na hali zao. Hawa viumbe wana namna nyingi za kukuharibia utulivu. Kuwatetea ni kupoteza muda. Mimi nilivuta single mama mmoja mwenye...
  3. M

    Sifa za Marais wetu, Mwinyi RUKSA, Mkapa UWAZI NA UKWELI, Kikwete UFISADI, Magufuli MALIASILI, Samia UTEKAJI

    Mleta uzi umezunguka sana. Ungeenda moja kwa moja kwenye point kwa kumsimanga Dr Samia Suluhu. Lakini ndo Rais wako hadi 2030 na kuna tetesi ataongezewa muda.
  4. M

    WIZI huu Nina uhakika wakurugenzi wa HALIMASHAURI wanausika kikubwa mno maana ni nchi nzima.

    Serikali kufanya yenyewe biashara ina faida kwenye makaratasi tu ila kiuhalisia hakuna inachopata ukilinganisha na kama ingebinafsisha kwa sekta binafsi. Ndo maana nashangaa sana wanaosema bandari imeuzwa wakati kuendesha stendi tu imetushinda.
  5. M

    Mikopo ya biashara Tanzania ni kwa ajili ya kuziua biashara na sio kuzikuza

    Mkuu ndo kilichotokea kwa upande wangu. 2025 nimewafanyia watu kazi kama mtumwa. Mimi nilibaki tu na title kuwa namiliki biashara ila wanaofaidika ni walionikopesha.
  6. M

    Ninakusudia kuliandikia barua nzito sana Bunge la Ulaya kulieleza kwa kina kazi kubwa iliyofanywa na Rais Samia katika kuimarisha Demokrasia na haki

    Hata mimi nimecheka balaa baada ya kusoma heading na kuangalia jina la mwandishi. Je, Lucas Mwashambwa ulifanikiwa kuandika?
  7. M

    Mikopo ya biashara Tanzania ni kwa ajili ya kuziua biashara na sio kuzikuza

    Tayari nimeweka nia ya kutojihusisha na mikopo ya aina yoyote ile mwaka 2026. Iwe benki, viccoba au wowote ule nitakaa nao mbali. Yaani nimejiahidi kama nilivyojiahidi kutofanya mapenzi hadi nimalize form 6 na nikafanikiwa. Hii mikopo sio kabisa. Kimsingi ukipiga hesabu ya marejesho ukajumlisha...
Back
Top Bottom