Wewe mpumbavu ungekaa kimya. Sasa hapo Makonda kachukua tu maamuzi ya kisiasa ila mahakamani huyo aliyeuziwa nyumba hachomoki na anaweza ongezewa deni la kulipa gharama za kesi. Acheni kutaka huruma kwenye biashara za watu.
Kama mtu umekopa milioni 3 huku ana nyumba ya 50m ikawaje akaanza kusumbua kurudisha mkopo? Tatizo wenye nyumba wengi Tanzania ni maskini... mtu hajajiimarisha kiuchumi anaenda kutumbukiza 50m kwenye nyumba. Matokeo yake ndo hizi aibu za kushindwa rejesho la 3m.
Profesa Safari anajua hiace za Moshi mjini - Machame? Pale mbele wanapotakiwa kukaa abiria na dereva huwa wanakaa abiria watatu na dereva. Hilo gazeti unasomaje? Au coaster za Arusha - Moshi ambapo lazima majibizano kati ya abiria na kondakfa kuhusu nauli yatokee huku dereva naye akiingilia...
Elimu yake ni ya kuunga unga sana. Mtu kazaliwa mwaka 1963 kaja kupata degree 2011.... utakadiria mwenyewe kahangaika miaka mingapi kuisaka hiyo degree.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.