Recent content by matokemsabi

  1. matokemsabi

    CUF wasema Bai Bai UKAWA wajiunga na CCM

    Hawa wanaweza kuwa sio waTanzania
  2. matokemsabi

    Onyo: CHADEMA iache uhuni huu mara moja jimbo la Segerea

    Kura kwa mtatiro na hakuna asiejua hilo ukawa mbele vyama badae
  3. matokemsabi

    Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA kutoka Katavi

    Huo mkutano ulikuwa na watu wengi saaana mpka wakawa wanakanyagana ovyo polisi wakawa wanafanya kaz ya kutuliza watu nakumbka fujo zilianza baada ya kushka kwenye helcopter watu wakaenda kumpokea hukohuko kurud wakakuta watu wamejaa na nafas hakuna nilikuwa hapo acha kupotosha
  4. matokemsabi

    Vodacom, mnafahamu maana ya UNLIMITED Intenet?

    Ni kwel wanasumbua saana maanA ukinunua kile cha 25000 unatumia kidogo kwa speed mzuri cha kushangaza ikipita mda kidogo tu speed inkuwa vry slow mpka unashangaa na hapo itakaa ivoivo mpka mda wa kuisha ni kero kwa kweli
  5. matokemsabi

    Madiwani watatu Meru wajiunga CHADEMA

    Mtu hataki hajui hata pande kuu za dunia ni zipi ndo maana hajui kahama na tabora zipo wapi anahis ni kaskazini huko
  6. matokemsabi

    Lipumba aondoka nchini baada ya kujiuzulu

    Haya yote ni mApambano nahis yanaelekea pazuri acha lipumba aende vijana washike hatamu ya cuf
Back
Top Bottom