Recent content by matinee

  1. M

    Ukweli usiosemwa kuhusu Israel

    Israel ni sehemu ya Afrika na watu waliokuwa wanaishi pale ni waafrika. Namaanisha kwamba Africa ya leo imepatikana kwa kutenganishwa na mfereji uliochimbwa na mwanadamu Suezi Canal. Hivyo basi Middle East ni North Africa. Pia Africa na the Middle East hatujatenganishwa na tectonic plate...
  2. M

    Familia mbili za anunaki ndio zinasumbua dunia hii hadi leo

    Mtoa mada akuje atoe au ajibu haya.
  3. M

    Mjadala kuhusu Binadamu na Mungu

    Nakubaliana na wewe kwamba kwa sasa baadhi ya mambo hatuna majibu tueendelee na udadisi.
  4. M

    Familia mbili za anunaki ndio zinasumbua dunia hii hadi leo

    Naomba unijibu maswali haya mkuuu 1.kazi ya dhahabu ni ipi kwa hao miungu? 2.kwa nn waliondoka hapa duniani? 3.kwa nini hawawarudi tena kama waliondoka? 4.je dhahabu inayo chimbwa nyakati hizi bado wanakuja kubebe? 5.mtoto wa annunaki alikuwa mfalme akashangaaa mzazi kufa?wakatiti umesema...
  5. M

    Mjadala kuhusu Binadamu na Mungu

    Sipo upande wowote maana vyote nidhania tuu.
  6. M

    Mjadala kuhusu Binadamu na Mungu

    Habari wanajamvi?natumai wote niwazima. kwa mujibu wa imani zetu wapo wanao amini binadamu ameubwa na MUNGU,hii nikutokana na simulizi na vitabu vya dini. pia wapo ambao wana pinga kwamba kwamba binadamu wamemuumba MUNGU,hii inatokana binadamu kushindwa kujua mwanzo wake nawaka amua kusema yupo...
  7. M

    Utata kuhusu Hadithi ya gharika la NUHU na SAFINA

    Mwenye kitabu cha afulela ulela anitumiee 0748844087
  8. M

    Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

    Hoja hujibiwa Kwa hoja,utafiti hujibiwa Kwa utafiti.kunawatu wanabeza mawazo ya wenzao leta Yako tulinganishe Naya wenzako.mtu anajibu eti mzungu kashindwa yeye ni nani?akili za panzi hizi Kwani mzungu ni mungu ,yeye ninani kwetu?
  9. M

    Je, Mungu aliumba ulimwengu akiwa wapi?

    Nishati yote duniani chanzo chakra ni jua,but can change from one form to another.kwahio mwisho wa uhai au maisha ni kufa Kwa jua letu.swali la kujiuliza Nini chanzo Cha jua?na chanzo Cha ulimwengu?after that you can define what is life?and where it came from and its original.
  10. M

    Dunia ni kama VIDEOGAME isio na uhalisia wowote

    Mambo yote yamejaa uchovu tuuu.hakunajipya chini ya jua
  11. M

    Biblia kwa Jicho Jingine

    Kama nabii Musa aliomba amuone Mungu akamkatalia ,lakini akamwambia nitapita utaona mgongo (back head)Musa nabii wa Mungu akazimia baada yakuona mgongo wa mungu.wewe ni nani?umhoji Mungu,umuone Mungu,nivigumu sana Kwa binadamu mwenye mwili(nyama)kumuona Mungu.
  12. M

    Biblia kwa Jicho Jingine

    Basi usihitimishe kwamba mungu hayupo.nibora ukaamini yupo ukafika usimkute,nasio ukaamini hayupo ukamkuta yupo.
  13. M

    Biblia kwa Jicho Jingine

    Naminomba nijibu maswali haya: 1.maisha ni nini?(what is life) 2.chanzo Cha maisha ni nini?(source of life) 3.asili ni nini?(what is nature?) 4.source of nature (chanzo Cha asili ni no) Kiranga ukinijibu haya ntaweza kujibi maswali Yako Kwa mungu hayupo.
  14. M

    Biblia kwa Jicho Jingine

    Nipenda sana inapanua uelewa zidi ya uwepo wa mungu.tatizo hujamalizi umeniacha njia panda.kama Bado upo hai tafadhari malizia mada ndugu yangu
Back
Top Bottom