kiukweli shirika la MAXMALIPO linatakiwa lijitasimini kwa namna linavyoendesha biashara yake,
Sisi mawakala tumejitaidi Sana kutumia nguvu na akiri nyingi kulijenga soko, lakini kampuni ya MAXMALIPO inaliboma Soko kirahisi sana.mjitathimini jamani wapi mnaferi?
Sent using Jamii Forums mobile app
VODACOM mlituambia kuwa yajayo yanafurahisha,lakini mbona yanasikitisha?
Hasa kwa hapa TUNDUMA network limeshakuwa tatizo sugu hasa upande wa M.PESSA,maana Kila siku mida ya jion huwa tatizo kubwa,inamaana hamlioni hilo??[emoji35][emoji35][emoji35]
Sababu ulizo ainisha hazina mantiki na haziwezi kujenga hoja hata Kidogo,
Kwanza umetoka nje ya Swali langu,
Pili tundulisu hakukosoa juu ya makinikia bali Yeye ndie aliekuwa akilipotosha TAIFA kuhusu swala hilo na kulitwika zigo la uwoga TAIFA kwa kusema litanyolewa bila maji sasa yako wapi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.