We umemtegemea kuanzia lini mpaka leo?pensheni ya kwake au ya kwako.we umejuaje anaitumia vbaya?au kakunyima mgao?Muda atakaokutegemea wewe c Sawa na Muda ulio mtegemea ww.
KWA hiyo KWA akili yako unahisi hao waliotaifisha hizo Mali NI Malaika?na pesa wakaagiza zilipwe KWENYE acc binafsi,serikali haikuwa na acc za kuweka pesa za wahujumu uchumi?ikulu NI Mahala patakatifu hatupaswi kupeleka pale MTU tunaemtilia shaka.tuwe Makini sn KWENYE chaguzi zetu
Watachangia wasiojielewa.yani nimchangie lusako?management ya hiyo pesa inakuwaje?tukishamchangia lusako KWENYE akaunti yake hiyo pesa NI ya Nani?ya kwake au ya Wananchi?watu wanatumia fursa hapa.
Sijawahi kuona milionea aliesema ukweli kuhusu millions zake.ni story za kufikirika Tu.elfu 40000 uzichange mpaka mil 150?haya akina Dada na akina kaka,muwe na nidhamu na pesa.
Kwa hiyo, serikali huwa inaajili waliopata division zero? Au kufeli mana yake nini? Muwe na shukurani na serikali yenu. Imejitahidi kuwafikisha hapo kwa waalimu makini lakini lawama kibao. Kweli binadamu hana wema. Mnataka mpewe gunia la ma...
Wajinga tu.nchi zilizoendelea mostly hawtumii cash.lazima uijali Afya yako kabla hujaumwa, so lazima ukatie Afya yako bima.nchi kama marekani utafia KWENYE benchi na cash yako ya kuungaunga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.