KUMBUKA KUWA VYUO VYA SERIKALI HUTOA GAWIO LA KISHERIA AMBALO LIPO LIPO KISHERIA, VYUO BINAFSI WANATOA PERCENT SERIKLAINI? HIVYO HAWAWEZI KUPATA RUZUKU YOYOTE SERIKALINI.
Hizo taarifa umezipata wapi wewe? kwa nini mnaropoka kwa vitu msivyovifamhamu? hadi hivi leo hakuna anayefahamu labda mkuu wa nchi pekee yake. Baadhi ya watu mnashangilia mambo ya wale wageni waliotuibia mali zetu kwa muda mrefu, ninyi mnawafagilia ! hii ni nchi yetu huwezi hata siku moja...
Pole sana kwa kuandika kitu ambacho hukifahamu kabisa, uanshtakiwa kwa kosa gani? kwa kuwa tu unadai haki yako? hashtakiwi mtu hapa, fungeni midomo yenu isiyokuwa na subira.
Nadhani hujui unachokiandika, wewe ni mtanzania kweli? hayo majambazi unayatetea? tunakushangaa saana! Polisi tunawaunga mkono kwa asilimia mia kwa kazi nzuri na ngumu mnayoifanya.
cc. Mwigulu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.