Recent content by MATIC_

  1. MATIC_

    Naomba kujua kiwango cha mshahara wa Wahudumu wa Afya ngazi ya jamii

    kwani hayo mafunzo yenyewe yanaanza lini mkuu?!
  2. MATIC_

    Naomba kujua kiwango cha mshahara wa Wahudumu wa Afya ngazi ya jamii

    naomba niulize jambo moja mkuu... ukianza hio kazi je unaruhusiwa kwenda kujiendeleza kielimu zaidi ya uliyonayo sasa?! na kama ndio inatakiwa ufanye kazi muda gani mpaka uweze kuruhusiwa kwenda masomoni?!
  3. MATIC_

    Naomba kujua kiwango cha mshahara wa Wahudumu wa Afya ngazi ya jamii

    oya mkuu upo mkoa gani mzee wangu?!
  4. MATIC_

    Naomba kujua kiwango cha mshahara wa Wahudumu wa Afya ngazi ya jamii

    kazi za kujitolea hzo hamna maslahi humo sema kama hujakaa vzuri unafanya tu upate chochote... ila naskia kwenye ishu ya mafunzo mnapewa na posho
  5. MATIC_

    Ajira Jeshi la polisi

    sasa mkuu wewe umeambiwa mwisho point 28 na ww una 29 unataka uombe huoni kama kgezo kinakuengua mzee wangu
  6. MATIC_

    JWTZ yatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye mafunzo ya JKT

    hii sentensi "shule ulieda kusomea ujinga" umelirudia sana mwanangu em mpumzishe huyu mtu[emoji38][emoji38] Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  7. MATIC_

    Nimepata uvimbe sehemu ya haja kubwa. Napata maumivu makali nikitembea

    mkuu samahani hio bawasiri yako ilikua ya ndani au nje?!
  8. MATIC_

    Nahitaji kufanya operation ya kuondoa bawasiri

    wajuvi eeh... hivi kupona kabisa after hio operation huchukua muda gani?! maana nmetumia kila aina ya dawa za asili ila matokeo hamna
  9. MATIC_

    JWTZ yatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye mafunzo ya JKT

    kwamba nae kwa namna moja ama nyngne kashajiunga kwenye system lazima aje kulia siku moja[emoji28][emoji28] Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  10. MATIC_

    JWTZ yatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye mafunzo ya JKT

    sasa wewe ndio umeongea KIKUBWA maumivu haya hata mimi yalinikuta mpaka sasa siamini mtu yoyote Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  11. MATIC_

    Utabiri: Mgombea urais CCM 2025 hatakuwa Mwanamke

    hapo ulipo haijalishi utasema kwa sauti au kwa siri... lakini sema MBENGO ZITAFONGOKA Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  12. MATIC_

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    duuh acha kabisa maumivu yake tunayajua vzuri tuliokata mkataba kipndi kile cha jiwe Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  13. MATIC_

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    vijana mpo kimya sana au mnapambana na usaili wilaya mbalimbali Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  14. MATIC_

    Hiki ni nini? Naombeni ushauri nachanganyikiwa. Nimekopa Milioni 14 natakiwa kurudisha Milioni 39

    pole sana... na siku nyingine soma vizuri hizo terms and conditions za mkataba kumbuka hawakupi msaada bali mnaingia biashara apo koo kua makini siku nyingine ila sidhani kama utarudia kukopa hata kwa mangi tu Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom