Recent content by mathsjery

  1. mathsjery

    Tusinunue vitu Used jamani

    Sio kweli kila kilicho used kilidharauliwa wengine shida huwafanya wauze All in all usinunue used apple products yoyote
  2. mathsjery

    Kigoma: Kivuko chasombwa na maji kikiwa na abiria ndani. Moja ya abiria ni mwenyekiti mstaafu wa CCM mkoa

    Main point ni mwenyekiti mstaafu wa CCM, asingekuwemo tusingepata taarifa
  3. mathsjery

    Hivi drone haiwezi Fanya hii kazi ili lote Lina umuhimu gani?

    Hapa umefafanua vyema Vipi hakuna mbadala WA red komodo tupate kitu kidogo portable
  4. mathsjery

    Hivi drone haiwezi Fanya hii kazi ili lote Lina umuhimu gani?

    https://www.instagram.com/reel/C1nDREBvrDI/?igsh=MzY1NDJmNzMyNQ==
  5. mathsjery

    Mifumo ya TEHAMA ya serikali mfano Tamisemi, inaundwa na kina nani? Ni AIBU tupu.

    Aiseh! Kama imefika huko basi ni hatari,taka jin la mfumo wengine hatufahamu tuone
  6. mathsjery

    Mifumo ya TEHAMA ya serikali mfano Tamisemi, inaundwa na kina nani? Ni AIBU tupu.

    Baada ya uona details hizo nini kinaendelea au kitakachotokea, endelea kutufunza kuhusu hilo
  7. mathsjery

    Mifumo ya TEHAMA ya serikali mfano Tamisemi, inaundwa na kina nani? Ni AIBU tupu.

    Vitendo ni Bora kuliko maneno, lugha ya kukwambia kuwa Wana tatizo inatakiwa iwe kwa vitendo. Mkuu ulishajaribubkifanya hakiking yoyote pale mbali na kukwambia wanafunzi wa cyber. NB. Nope namba yako pm
  8. mathsjery

    Msaada: Wakuu nina Tutorials zangu nataka nianze kuzirekodi na kuzi upload YouTube natakaiwa kuwa na vifaa gani?

    Nunua condenser microphone ila wengine hutumia dynamic microphone inategemea na mzingira uliyopo. Binafsi natumia condenser microphone nilichukua kwa 110k ikiwa na audio adaptor japo situmii ajustutable adaptor ila narekodia chumbani na hakuna mzingira ya studio ni Meza, ukuta na kiti inatoa...
  9. mathsjery

    Vituko vya Bibi Fisi: Mchawi aliyetikisa Kanda ya Ziwa

    Kwani hapo ndo Bibifisi alikuwa anaishi hapo kulikuwa na kichaka zamani baadae walikiwa wanacheza ball kwa Bibifisi ni upande WA pili kutoka nyumba ya kibopa WA tra karibu na get la marehemu Raghu
Back
Top Bottom