Recent content by Mathmention

  1. M

    Mambo ya msingi kujua kabla hujaingia kwenye forex trading

    Vipi huwa kuna apps yake au unajiungaje ? Tafadhali mkuu
  2. M

    Mambo ya msingi kujua kabla hujaingia kwenye forex trading

    Mtaji wa mwanzo wa chini ni bei gan kujiunga na forex trading
  3. M

    Natoa mafunzo ya forex kwa wanaoanza

    Mbna haifunguki mkuu
  4. M

    KUULIZA SIO UJINGA

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] naelewa mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    KUULIZA SIO UJINGA

    Saw mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  6. M

    KUULIZA SIO UJINGA

    Eti credit ya BAM ni sawa na crredit ya PURE MATH ? Pia wakati wa ku apply course ambazo sifa yake uwe na MATHEMATICS je unaweza kutumia BAM kama ndo kigezo chako ? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M

    HEALTH ALLIED SCIENCES

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  8. M

    Ushauri

    Jambo zuri Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

    Mkali wa chemistry advance Naomba nimuone nina swali kidog linanisumbuwa Sent using Jamii Forums mobile app
  10. M

    Examiners report

    Naomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia NECTA examiners report A level (especially kwa BIOLOGY,CHEMISTRY,GEOGRAPHY) . Kuna wakati nilipata kama za miaka miwili kwenye mtandao, bahati mbaya flash disk yangu ilicrash nikapoteza kila kitu. Sasa najaribu kuzitafuta mtandaoni nashindwa kabisa sijui...
  11. M

    Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

    Ni kweli mwanafunzi yoyote anaetoka o level na kwenda chuo anaanza certificate ata kam uwe umepata daraja la kwanza mkuu isipokuwa kama ulipita advance bahat mbaya ukaharibu ndio unaanza diploma Nadhan umeeelewa Sent using Jamii Forums mobile app
  12. M

    CBG COURSES

    Laboratory science hawez kuchukua degree ? Sent using Jamii Forums mobile app
  13. M

    CBG COURSES

    Shukran Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom