DODOMA LANDLORD COMPANY(DLC)
TUNAKULETEA HIZI HAPA APARTMENT NZURI ZINAUZWA.
[emoji1485]mahali:-MICHESE DODOMA MJINI. MKABALA NA RELI YA SGR.
[emoji1485]NYUMBA ZA KWANZA BAADA YA RESERVED ROAD YA RELI YA MWENDOKASI.
[emoji1485]IPO KATIKATI YA ENEO LA MIGANGA NA MKONZE
JIRANI NA USAFIRI WA...
NALA PROJECT.
Kwenye Kata ya Nala hususa ni kwenye Barabara ya Mzunguko wa Mashariki inayotoka Morogoro ambayo haiingii katikati ya Mji,barabara ambayo itapitwa na Magari makubwa na Mabasi ya Mikoani(Barabara imepitia kuanzia Chahwa-Ipala-Nzuguni-Msalato-Mbalawala mpaka Nala) ni barabara kubwa...
PATA HATI MILIKI YA KIWANJA,NYUMBA AU ENEO LAKO(SHAMBA)NDANI YA SIKU 14.
Kama unamiliki kiwanja au shamba au Nyumba na haijawa bado na Hati,au hapajapimwa sasa unaweza kupata majibu ya maswali yako na ukaanza kumiliki Eneo na Kiwanja Kihalali kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania.
HATI ni nini...
Mkuu pole sana kwa dhana uliyonayo na pengine wewe ni Mwenyeji kwasasa Viwanja vyote tunavyoyangaza sisi vimepimwa na vina Hati zake hakuna maneno unayosema wewe kwenye comments zako,kama uliwahi kupigwa ni kwasababu ya kutaka vitu vya bei rahisi ila sio kununua Viwanja vilivyopimwa na kuwa na...
Biashara ya Viwanja sio kama Biashara ya Vifaa vya umeme vya Kichina daraja ya mwisho,unaweza kuonyeshwa kwenye mtandao picha nyingine ukalipia ikifika unakuta nyingine na Muuzaji anakomaa ni ileile uliyochagua[emoji16]
Viwanja kwanza Biashara tunafanya kupitia Wanasheria wetu au wako(kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.