Kama utaweza tafuta sem town yoyote.iwe sehemu yenye mchanganyiko wawawtu yani pawe na mwingilino wawatu wengi hasa wanawake .then fungua biashara ya vipodozi na urembo yani uuze lotion, perfumes,urembo wote hasa saa zakiume nakike,cheni zakike nakiume quality zote,heleni zakike ,pia uuze na...
Kabsa yaan anasahau kuwa chanzo kingn ukiachana na tamaa cha wanandoa kusalitian na kuchepuka nikuwa huwa hawaridhishwi nawenza.mfn mwanamke kutofrahia tendo kiujumla.akijaribu kwa wengne tyr anasalit maan anakutana navitu hajawah fanyia ikiwepo kuandaliwa vzur kabla ya tendo, kuandaliwa kwnyewe...
Kuna dawa hivi huwa yakupaka.siikumbuki vzr jina.but inauzwa bei mkasi nakama haijakomaa niweek tu vinapotea.sema nmesahau kma upo serious nichek PM niifatilie nikujuze.pia piga vyakula vinavyojenga kinga mwili zaid. Ni PM ntakusaidia
Ok.ni element ,then ninini hiyo Polonium 210,nilihitaji kujua mechanism yake, inaathiri vipi mwili, inshort hii element naiskia kwajuu juu tu,any briefly info about it.
Habari wana JF,Moja kwa moja naomba kuuliza hii polonium 210 ninini , inafanyeje kazi na inaathiri sehemu gani zaidi kwenye mwili wa mwanadamu,inatengenezwa na material gani,ni ipi tofauti yake na polonium 110??.nawasilisha.
Mku pole
Mkuu pole sana.usikate tamaa one day yes,huenda siku nzuri zaja.hiki nikipindi unapitia kama kukufundisha namna maisha yalivyo.siku ikifika utakuwa tayari mwenye nguvu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.