Heri ninyi watakapowashutumu na kuwaudhi na kuwanenea kila neno baya kwa uongo, kwa ajili yangu.
12 Furahini, na kushangilia; kwa kuwa thawabu yenu ni kubwa mbinguni; kwa maana ndivyo walivyowaudhi manabii waliokuwa kabla yenu. Mathayo 5:11 - 12
Hilo neno kisiasa nimelipenda, ndio linaondoa hata kufuata sharia zilizowekwa na linaleta mihemko, mtu anafanya jambo bila kufuata sheria ili aonekane na wakubwa kwamba na yeye amefanya. Alafu Mtu huyo ni msomi kabisa na madegree yake!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.