Recent content by Mathethamathetha

  1. M

    Kutoka Uhamiaji: Askofu Kakobe asisitiza yeye ni mtanzania. Ang'aka watu wa Kigoma tu kuhojiwa kuhusu uraia

    Lakini ukiisikiza sauti yake kweli, na kuyatenda yote ninenayo mimi; ndipo mimi nitakuwa ni adui wa adui zako, na mtesi wa hao wakutesao. Kutoka 23:22
  2. M

    Kutoka Uhamiaji: Askofu Kakobe asisitiza yeye ni mtanzania. Ang'aka watu wa Kigoma tu kuhojiwa kuhusu uraia

    Heri ninyi watakapowashutumu na kuwaudhi na kuwanenea kila neno baya kwa uongo, kwa ajili yangu. 12 Furahini, na kushangilia; kwa kuwa thawabu yenu ni kubwa mbinguni; kwa maana ndivyo walivyowaudhi manabii waliokuwa kabla yenu. Mathayo 5:11 - 12
  3. M

    TRA mmemkosea Kakobe na kanisa la FGBF, mnapaswa kuomba radhi

    Hilo neno kisiasa nimelipenda, ndio linaondoa hata kufuata sharia zilizowekwa na linaleta mihemko, mtu anafanya jambo bila kufuata sheria ili aonekane na wakubwa kwamba na yeye amefanya. Alafu Mtu huyo ni msomi kabisa na madegree yake!
  4. M

    Kiingereza cha wanasiasa wa Tanzania

    Yani nimecheka kama kichaa, yani JF kiboko
  5. M

    Wanafunzi wengi wanashindwa kufanya homework wanazopewa

    Mara nyingi ke ndio wanawasaidia watoto kufanya home work
  6. M

    Kwann wafanyakazi wa ndani hawadumu km zamani?

    Umesema kweli, msichana wa kazi akiwa na simu hasa hizi smart phone! utakoma
  7. M

    Naomba kujuzwa kama kuna mtangazaji mkubwa wa redio na Televisheni za kiswahili ambaye hajapitia ITV na Radio one

    Ivona Kamuntu, Barbara Hassan, Masoud Kipanya ni watangazaji wazuri tu na sidhani kama wamewahi kufanya kazi ITV na Radio One
Back
Top Bottom