Alichokimaanisha mleta uzi, siyo kwamba vyombo vya usalama visichukue hatua kumlinda kiongozi wetu. Hoja yake ni namna walivyolishughulikia suala hilo kiasi cha kuleta taharuki kwa raia na hata Rais mwenyewe (maana jana hakuwa sawa obviously). Wangeweza kulidhibiti kimya kimya na mambo yakaenda...
Kuna mahali pameandikwa how a PhD holder should behave, labda kwa bahati mbaya hujawahi kupasoma! Kwa kuanzia tu, ungeanza kufahamu lile gauni linalovaliwa wakati wa mahafali lina maana gani, kofia (na zile pembe zake) au kile ki mkia (tassle). Pia hudhuria mahafali mtu anapokuwa anatunukiwa...
Mimi nilikariri neno "Water Reservoir". Lakini kwa bahati mbaya inaonekana Reservoir imetoboka na 'Litre 1.5 Trillion of Water' zinamwagika nchi nzima na imekuwa tepe tepe!
Machali, ni hivi: Kusema kwamba pesa zimeibwa au zimetumika kinyume na utaratibu ni Research Hypothesis, na kwamba Bunge lifanye uchunguzi ndiyo Research yenyewe, period. Mbona ni rahisi sana?
Baadaye mwl. alishauriwa na kamati ya nidhamu kuwa wote (yeye na mwanafunzi) walikuwa na makosa. Kwamba hata kama mwanafunzi alikuwa na makosa, angemwadhibu kwa taratibu zilizowekwa kisheria. Pia nahisi walimu wenzake watakuwa walimsaidia kufundisha kwa approach tofauti na ile ya awali maana...
Wakati nikiwa Sekondari, kuna siku kulitokea ugomvi darasani kati ya mwl na mwanafunzi. Ilikuwa hivi: huyo mwl alikuwa akifundisha Chemistry, ila ki ukweli alikuwa mwl 'siyawezi'! Nadahni watu wazima wananielewa hapa. Sasa kuna mwanafunzi badala ya kumsikiliza mwl, akawa anaandika nukuu (notes)...
kwenye Psychology kuna kitu kinaitwa cognitive consistence unapotaka ku change attitude ya mtu. Inafanya kazi hivi: Kwa mf unamshauri mtu aache kuvuta sigara kwa kuwa ina madhara makubwa kama Cancer, TB n.k. Sasa huyo mtu badala ya kuona madhara ya Tumbaku, anaweza kukuuliza maswali haya:
1...
Hoja ya huyu Mbunge na wa tz tulio wengi ni nyepesi mno. Yeye alipomaliza Std 7, moja kwa moja alianza kutafuta pesa. Huyo Graduate alienda sekondari (6yrs) na chuo (3+yrs). Kwa hiyo ni suala la muda tu, wangepimwa mafanikio yao pamoja kama walianzia harakati pamoja.
Lakini kitu kingine ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.