Hivi unaijua Elimu ya Jacob Zuma? Je unajua Sam Nujoma aliishia darasa La NNE? Aliiongoza Namibia kupata Uhuru na hatimae Rais na baada ya kustaafu alienda kusoma? Je unakumbuka kwamba Jk alikwenda Brazil kuomba msaada na Baadae Rais wa Brazil akaja hapa na kuahidi msaada? Luis Inasio Lula Da...
Ila kama ilivyo kwa nyuki akishagongwa anataga mayai mengi yanayotoa nyuki wengi sana tena wanaume wote isipokuwa kama kunakuwa na jike linafichwa mapema sana na wafanyakazi kwakuwa Malkia akigundua analiharibu.hivyo hata dunia ingekuwa na wanawake wachache kama ilivyo sasa kwa nyuki
Hivi utanyang'anya bunduki Mbili au hata nne kwa ajili ya siasa? Ingekuwa hivyo wakina Salva kiir wangekuwa jela wala Sudan kusini isingekuwa huru Leo.Serekali inaacha kudeal na wahalifu inaongea siasa.ujinga ulioje Chama cha siasa kikaue Askari wawili? Viongozi wetu tunaomba muanze kufikiri...
Hayo majibu ya waziri mkuu yananishangaza,niliwahi kuajiriwa kiwanda cha blankets unapewa limit ya uzalishaji kwa siku na kwa wiki kisha kwa mwezi huku una muda wa mwisho wa kuingia kazini na muda wa kutoka,hao mnaowaongoza sio wehu wanajitambua.acheni majibu ya kitoto
Mimi nadhani rais ndio kiongozi wa juu kabisa katika taifa hili akirejea nchini huwa hafichwi fichwi na kama ni swala la usalama rais ndio anapaswa kulindwa na kifichwa kwa kiwango cha juu kuliko cdf.sasa inakuwaje leo mwamunyange anarejea anaonekana na gazeti la chama tawala tu.na serekali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.