Recent content by MATHEMATICIAN CORNER

  1. MATHEMATICIAN CORNER

    JamiiForums Tanzania Lissu ni kiongozi anayependwa sana Tanzania kwa sasa

    Nyerere alisha fariki miaka mingi iliopita kwa sasa TUNDU ANTIPAS LISU anastahili kuitwa baba wa taifa
  2. MATHEMATICIAN CORNER

    JamiiForums Tanzania Mdororo wa uchumi Tanzania: Watu 400 wamepoteza kazi kwa kufungwa mabenki

    Kijana aliyekuambia TPB iko hoi kakuingiza Chaka mimi niko TPB nakwa miaka yote toka aingie mkurugenzi mpya sabasaba kitewite moshingi benki inatengeneza faida NA kila mwaka faida inaongezeka. kwa sasa TPB Bank inafanya vizuri sana kujirishisha kaangalie msimamo wa mabenki yanayofanya vizuri...
  3. MATHEMATICIAN CORNER

    JamiiForums Tanzania Elimu yetu na jeneza lake

    Rebeca uko vizuri ni wakati sasa wakuanza kuijenga misingi ya watoto mapema sana thanks
  4. MATHEMATICIAN CORNER

    JamiiForums Tanzania Elimu yetu na jeneza lake

    Inapendeza kama tumebadilika. Ndama secondary iko wilayani sehemu nzuri ambayo kila mwalimu angependa kufundisha. Ina miaka 14 hakuna mwanafunzi ameshawahi pata japo B tu ya hesabu kweli hapa unaniambia tuna walimu kweli?
  5. MATHEMATICIAN CORNER

    JamiiForums Tanzania Elimu yetu na jeneza lake

    Kwa sasa naomba nikiri kuwa ELIMU yetu iko ICU inaelekea kwenye jeneza ama kaburi ifukiwe NA kupotea kabisa. Kuna mambo tutabishana lakini kwa hili naomba mnielewe. Nilikuwa najaribu kuongeza ELIMU ya computer out na kwa bahati tunapata wasaa wakufundishwa na walimu wa out. Kuna mkurugenzi...
  6. MATHEMATICIAN CORNER

    JamiiForums Tanzania Maji ni Mtego wa Umasikini (poverty trap)

    kiongozi ukizungumzia maji nakuelewa sana kiongozi wangu. namimi napenda niongeze mchango wangu japo kidogo kuhusiana na mada hii. naaamini tatizo la maji kama yalivyo matatizo mengine mengi sana yanahitaji mabadiliko ya jinsi ya kufikiri. natamani sana tungetathimini ni kiasi gani cha maji...
  7. MATHEMATICIAN CORNER

    JamiiForums Tanzania DAR: Jeshi la Polisi limemkamata kijana akiuza fulana za UKUTA

    Niko njiani napita Babati natokea Dodoma. Kwa wanaopajua smart hapa Babati kuna vijana wamenichekesha sanaa hapa wamepita wamevaa flana zilizo chorwa ukuta na nembo ya CHADEMA. Sasa mchoro wa ukuta sijui utapataje kirefu cha ukuta wa CHADEMA. Dah huu ni ubunifu mzuri sana big up
  8. MATHEMATICIAN CORNER

    JamiiForums Tanzania Salamu kwa wote humu ndani

    Heloo, nafurahi Leo kushiriki japo salamu na wadau humu JamiiForums. Hii ni mara yangu ya kwanza kutia mguu humu ndani. Na nimelazimika kuingia humu baada ya kushuhudia uhuru na uwazi uliomo humu ndani. Watu wananafasi ya kusema kuchangia na kukosoa. Huu haswa ni utamaduni wa kisomi ni utamaduni...
Back
Top Bottom