Recent content by materuni

  1. M

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

    mimi nadhani hawa ukawa ni wakuheshimu sana maana si wao waliopeleka rasimu bungeni bali wao wanataka maoni ya wananchi yaheshimiwe wenzao wanataka kuheshimu maoni ya jk na nape nawaomba watanganyika wote tuwaunge mkono ukawa hadi ccm waone aibu kurudi bungeni mwezi wa nane
  2. M

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

    kwani wana faida gani na sisi watanzania hata wakimwagiwa ni sawatu mbona wao wanatutengenezea tindikali badala ya katiba??
  3. M

    UKUWA wafuate ushauri huu ili kupata katiba ya wananchi

    ccm wanadhani kuna wanachofanya wao wajidanganye na wingi wao wapitishe hilo likatiba lao la ccm sisi tuwasubiri kwenye kura ya ndiyo na hapana hapo ndipo watakapoiona aibu yao kila mmoja atajiona yuko uchi kwa maamuzi yao.
  4. M

    Hoja ni ipi?Kulinda serikali mbili au kulinda muungano?

    ccm huwezi kuwaelewa wewe ukiona watu wazima na akili zao wanajitoa ufahamu ogopa sana mfano mwakembe kitabu chake kinasema serikali tatu yeye leo anasema mbiliwewe utamwelewa?? mtu mzima anashindwa kusimamia anachokiamini huyu ndo mlisema atafaa kuwa raisi??? rais kigeugeu??
  5. M

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Alhamisi, Tarehe 10 Aprili, 2014 - Uwasilishaji wa Taarifa za Kamati

    Kwa wale walioangalia bunge leo wamesikia hoja zinazotolewa na kamati mbalimbali kuwa kuna hoja za wengi na hoja za wachache sasa naomba kila mtanzania alieangalia bunge aniambie ni hoja zipi zinawakilisha maoni ya watanzania ni hoja za wengi au ni za wachache napenda tujadili na niombe...
  6. M

    The Unsung Hero: Lipumba Hotuba yake nzito imeliunganisha Bunge

    Kwa mara ya kwanza umeongea point tangu nikujue
  7. M

    The Unsung Hero: Lipumba Hotuba yake nzito imeliunganisha Bunge

    akili ndogo ilitaka kufundisha akili kubwa yaani ni form six anataka kumfundisha prof aibu yake kesho ajifunze
  8. M

    Yaliyojiri Kalenga: Uchaguzi wa Ubunge - Machi 16, 2014

    sasa mud hebu tuambie post kana hizi ni za nini ?kama si kuzuia nafasi ya wenye matokeo kutupa update mtu anaandika matokeo utayapata hapa halafu anaenda kulala maana yeke ni nini???
  9. M

    Mbowe: Nipo tayari kufia angani

    Mimi mbowe nampenda bure mwambieni rpc aseme ni kifungu kipi kinampa mamlaka ya kupangia watu usafiri wa kutumia wawapo kwenye shughuli zao za chama???
  10. M

    Mwenye CV ya mgombea wa CHADEMA Chalinze Mathayo Torongey

    hakuna ubaya ila tuambie kwanza sheria ya uchaguzi inasemaje?? mgombea anatakiwa awe na elimu ya kiwango gani ?? na kanma haitaji kiwango cha elimu wewe elimu yake unaitakia nini mbona lusinde kaishia la nne sisi hatuulizi elimu yake? au wewe unadhani elimu kubwa ndo uongozi bora ? mbona kapuya...
  11. M

    Wapinzani wana maana gani katika hili?

    mkuu ni kweli huwezi kuelewa lakini cdm au wapinzani wanaposena daftari liboreshwe si kwamba watakaojiandikisha ni wapinzani tu bali wanataka kila raiya apate haki yake kikatiba bila kujali ni wachama gani NB Wapinzani hatutetei wapinzani tu tunatetea wananchi wote
  12. M

    Lema na Msofe walianzisha Arusha na madiwani wengine CHADEMA

    aminangalo wewe ni lini umekuwa mwana chadema ?? umejitahidi kuandika lakini umechemka kwanza nikuambie wakati arusha wakiweka taa za barabarani huyo unaemtaja kuwa alikula cha juu yaani msofe wala hakuwa diwani sasa sijui alikulaje cha juu
  13. M

    Jambo la hatari

    hukumbuki kazi ya prfesa kapuya na bint yatima au huo sio usomi?? watoto wetu wanauza madawa ya kulevya hakuna wa kuwakamata wewe ni nani unaeshindana na serikali???
  14. M

    Ombi: Ikulu ipuuze waraka wa Kakobe

    swala la kudharau ujumbe wa kakobe sio wewe hami D umesema hata ujumbe wenyewe umesema hivyohivyo kuwa mtadharau, mtakejeli, mtabeza . lakini naneno ya mungu yaliyoletwa na mtumishi wake kakobe yatasimama maana mungu haogopi dharau wala kejeli nyie subirini muone kwani 2015 ni mbali???
  15. M

    Serikali kuajiri wafanyakazi 500 kukabiliana na Ujangili!

    kuna habari mbili nataka uzisome na unipe tafsiri kama ukiweza 1}Rais kikwete aitangazia dunia mapambano juu ya ujangili 2}wachina waliokamatwa wakisafirisha meno ya tembo wahukumiwa kwenda jela miaka mitano au kulipa faini ya shilingi milioni moja Naomba msome kauli hizo mbili hapo juu ambazo...
Back
Top Bottom